Kashfa ya Richmond: Lowassa, Karamagi na Dkt. Msabaha Wajiuzulu

dahhhh hawa chanel ten,inamaana hii habari ya lowasa leo ipo ktk kipengele cha zaid ya habari ama?
 
Tulia dawa ikuingie dogo. Mtaelewa tu.
 
dahhhh hawa chanel ten,inamaana hii habari ya lowasa leo ipo ktk kipengele cha zaid ya habari ama?

vipi tena imekuwa documenraty? Unajua lazima watanzania wajue kwa ufasaha kwani umeme ulikatwa. Hasa ile ishu ya richmond
 
if ye know logic huu ni uongo maana yeye ni mtendaji wa shughuli zote za serikali hapa ndio ukisikia natumia ukilaza wa wa Tanzania kutudanganya

 
Nahisi harufu ya vita kati ya mamlaka ya juu na mheshimiwa Lowassa. Tunasubiri kama upande wa pili nao utakuwa na la kusema au utapiga kimya kama kawaida yake. Hizi siasa bhana zinafurahisha sana wakati mwingine. Mambo yameanza kuwekwa hadharani.

Mimi naona bora wajibu ili Lowasa amwage tena mengine waje tena wajibu ndipo tutajua picha halisi
 
Aliogopa mamlaka ya juu itambabu sea yeye na familia yake.


haha..., kweli watanzania wanafki haswaa.., sasa Lowassa mnamnafkisha kwa lipi huko CDM?pesa zake au?maana siwezi amini mtu kajitetea miaka 8 yeye sio fisadi, halafu ghafla kahamia CDM utetezi wa muda mfupi tu umekubaliwa!
 
haha..., kweli watanzania wanafki haswaa.., sasa Lowassa mnamnafkisha kwa lipi huko CDM?pesa zake au?maana siwezi amini mtu kajitetea miaka 8 yeye sio fisadi, halafu ghafla kahamia CDM utetezi wa muda mfupi tu umekubaliwa!
Wakati hawajasikia hata kauli ya upande wa pili.
 
Wakati hawajasikia hata kauli ya upande wa pili.


CHADEMA wanachosahau ni kuwa Tuhuma za kumuita Lowassa Fisadi hazijatoka CCM zimetoka kwao CDM. sasa Lowassa anaposimama kudai walete ushahidi ni maigizo ya hali ya juu.

Siku zote wanaojisifu kwa kufichua ufisadi ni Upinzani, wakiongozwa na Dr.Slaa, kashfa nyingi CCM huwa inakataa uwepo wake na kuzitetea..,

kwa hali inakoelekea Rugemalila akipenyeza bilioni kadhaa Ufipa, utetezi wa Escrow unanza upyaa!!!! na watu tutadaiwa ushahidi au tu-shutup.,wakati tuhuma zimetoka humo humo UKAWA.

Hivi hawa viongozi wenu wa JUU wa ukawa bongo zao zimekaa vizuri????


Huyu Lowassa anayedai ushahidi nje ya UKAWA akili yake imekaa vizuri?amesahau hata aliyemuita fisadi ni nani?

nimekereka na kiwango ambacho hawa kina mbowe na wenzao wanadhania watanzania ni wapuuzi..,


Whatever circus that goes on in Lowassa- UKAWA fiasco,hatakiwi kuomba ushahidi wa ufisadi wake kokote kule kwani CCM has nothing to do with it kwa sababu wao hawakumuita Lowassa Fisadi kabla ya CDM kumnuita, Hata mie ningekuwa JK ningejitetea kuwa huyu mtu nimemkata kwa kuwa alikuwa na TUHUMA nyingi,tuhuma zikiongozwa na nyie UKAWA.simple and clear..,
 
Sasa si angejiuzulu kuliko kutubebesha hasara. Walewale tu kama ni kweli wote hawa ni tatizo. If u ask me kujiuzulu ndiyo ulikuwa uamuzi sahihi. Sio eti usaini halafu utafute huruma
 
Kazi ya kumtangaza magufuli kwa sasa itasimama, watakuwa wanamjibu lowassa tuu
 
Kuna wakati hata Nyerere alisema kwamba wakati mwingine Lowassa huwa anaonewa.

 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…