Wewe muuliza swali huna huruma, walau ungewauliza swali jepesi kwa mfano: Baada ya magufuli kuwakamata wale wavuvi wa asili ya asia na kuwafungulia kesi na hatimaye magufuli akashindwa kesi vibaya na wizara yake ikapigwa faini kubwa waulize je taifa limepata hasara kiasi gani kwa uzembe wake?
Hahaha hatawewe humpati mtu, swalilako nilakusomwa na kutoka nduki.
My take,
Ccm kisicho riziki hakiliki mwaka huusiyo riziki yenu.