Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unamaanisha Ismail ADEN Rage au?????? mkuu jaribu kufafanua hapoLabda aje Rage pale Tifutifu.
hakika alliance ni sehemu nzuri ya soka la vijana..pia kuna ile rolling stone sijui kama ipo mkuuAlliance school
I wish alliance wapande ligi kuuhakika alliance ni sehemu nzuri ya soka la vijana..pia kuna ile rolling stone sijui kama ipo mkuu
hahahaaa ni kweli mkuu..nakumbuka hata Ismail aliwaita "mbumbumbu" wanachama wa timu yakeHii nchi ni ya kijinga sana.
Ukweli ni lazma usemwe.
Hyo ya Italy kupanga matokeo IPO mpk leo.
Sema serikali ya sasa ya Italy imekaa kihuni na legelege sana.
Betting nchini Italy imeshika sana kasi.
Mwaka jana tu wameonywa na FIFA mara 2 kuhusiana na hilohilo swala LA match fixing.
Uefa nao walichachamaa sana kwa tuhuma za shirikisho LA soka Italy.
Walkua wana kula bingo na matajiri.
Matajiri hawa walkua wakihonga sana marefa na wachezaji.
Pia walkua wanaotaka baadhi ya timu zifanyiwe figisu kwny mechi za mwisho mwisho wa last season ili ziweze kushika nafasi za juu kwny msimamo kuweza kushiriki Uefa.
Kelele zilipokua nyingi serikali ikaingilia kati na kuanza kuwalipa mishahara marefa badala ya posho peke yake kwa kushirikiana na shirikisho.
Pia serikali ikapitisha mswada wa kuwa na kima cha chini cha mishahara ya wachezaji wa ligi mbali mbali ndani ya Italy.
MWAKA JANA HALI ILKUA MBAYA SANA HASA KWA WAZEE WA MIKEKA.
Timu za Italy zlkua znachana mikeka sana sababu ya upangaji wa matokeo.