Kashfa za Ngono zaanza kumgharimu Diddy, ajiuzulu Uenyekiti wa 'REVOLT, Shule anayoidhamini yavunja uhusiano naye

Kashfa za Ngono zaanza kumgharimu Diddy, ajiuzulu Uenyekiti wa 'REVOLT, Shule anayoidhamini yavunja uhusiano naye

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
1701236884852.png

1701236982523.png

1701236990909.png

1701237001228.png
Kashfa za Unyanyasaji Kingono dhidi ya Wanawake zinazomkabili 'Rapa' Mkongwe Sean 'Diddy' Combs zimeanza kuathiri biashara zake hadi kumlazimu 'Puff' kuachia Uenyekiti wa Kituo cha Runinga anachokimiliki kiitwacho 'Revolt'.

Inadaiwa kuwa Diddy amefikia uamuzi huo ili kulinda uwekezaji wa makampuni yanayotangaza kupitia 'Revolt' yakiwemo Kampuni ya Kuunda Magari ya Cadillac na Mtandao wa Huduma za Simu wa AT&T.

Wakati huo huo, Shule za Capital Preparatory ambazo Diddy alikuwa akidhamini shughuli za uendeshaji pamoja na kulipa Ufadhili wa Masomo kwa Wanafunzi imetangaza kusitisha uhusiano wake na Mfanyabiashara huyo ikieleza uamuzi huo unalenga kulinda ustawi na mwelekeo wa Shule hizo.

Kwa takriban mwezi mmoja, Nyota huyo wa Hip Hip amekuwa akikabiliwa na kashfa pamoja na kufunguliwa kesi zinazohusu kuwanyanyasa Wanawake Kingono akiwemo aliyekuwa Mpenzi wake, Mwimbaji wa R&B, Cassie.

=============

It looks like #Diddy's partnership with #CapitalPreparatoryCharterSchools has come to an end. On Tuesday, Dr. Steve Perry, the founder and head of the schools, made an official announcement.

In a statement posted to the school's official website, Dr. Perry said, "Following a comprehensive evaluation, a decision has been made to end the partnership between Capital Preparatory Schools and Sean Combs. While this decision was not made lightly, we firmly believe it is in the best interest of our organization's health and future."

According to @apnews, Diddy was involved with the launch of the charter school's Harlem location in 2016, and in 2021, he made a $1 million donation that went towards the school's Bronx location. The news of the school's decision to part ways with the mogul came shortly after it was announced that he would be stepping down as the chairman of REVOLT.
 
Freemason n story za wajinga wanao simuliana wasio na akili timamu
wakati wewe unajiona una akili sana hapo unapoishia ndipo wengine wanaanzia.

siku ukitembelea Mwanza njoo Nyakato karibu na shule ya Msingi Buzuluga nikupeleka chemba moja ambapo salaamu yao ni good morning muda wowote hata saa mbili usiku na kila aliyeko kwenye ofc hio kapaki ndinga nje ujionee ambayo hujawahi kuona …

nje ya ofc hizo kuna bango gani na wanajitangaza kua wanafanya nini utajua ukifika.

ikiwa kitu hujui au huamini ni bora ukabaki na kile unachokiamini ila sio kukomaza shingo na kujifanya unajua kila kitu.
 
Sijui kwanini kila black icon wa uko nje akishakua juu tu then swala la unyanyasaji wakingono, and other problems vinaibuka inamaana wakina eminem hawajawi kunyanyasa watu kingono!
 
Sijui kwanini kila black icon wa uko nje akishakua juu tu then swala la unyanyasaji wakingono, and other problems vinaibuka inamaana wakina eminem hawajawi kunyanyasa watu kingono!

Hawa mastaa weusi wakubwa mienendo yao ndo ina waukumu now!!! Nafikiri hawa chipukizi wajifinze kwa hawa wazee!!! Mambo ya mwaka 70 yanaibulia unaenda kunyea ndo kizembe kabisa
 
wakati wewe unajiona una akili sana hapo unapoishia ndipo wengine wanaanzia.

siku ukitembelea Mwanza njoo Nyakato karibu na shule ya Msingi Buzuluga nikupeleka chemba moja ambapo salaamu yao ni good morning muda wowote hata saa mbili usiku na kila aliyeko kwenye ofc hio kapaki ndinga nje ujionee ambayo hujawahi kuona …

nje ya ofc hizo kuna bango gani na wanajitangaza kua wanafanya nini utajua ukifika.

ikiwa kitu hujui au huamini ni bora ukabaki na kile unachokiamini ila sio kukomaza shingo na kujifanya unajua kila kitu.
Freemasons wako Mwanza na wanajitangaza!? Ha ha haaaa
 
Sijui kwanini kila black icon wa uko nje akishakua juu tu then swala la unyanyasaji wakingono, and other problems vinaibuka inamaana wakina eminem hawajawi kunyanyasa watu kingono!
Sio kweli. Harvey Weinstein, Kevin Spacey, Bill O'Reilly, Jeffrey Epstein etc wote wameshakumbwa na kashfa za aina hiyo na sio weusi.
 
Sijui kwanini kila black icon wa uko nje akishakua juu tu then swala la unyanyasaji wakingono, and other problems vinaibuka inamaana wakina eminem hawajawi kunyanyasa watu kingono!

watu weusi wamekosa akili ndugu
 
wakati wewe unajiona una akili sana hapo unapoishia ndipo wengine wanaanzia.

siku ukitembelea Mwanza njoo Nyakato karibu na shule ya Msingi Buzuluga nikupeleka chemba moja ambapo salaamu yao ni good morning muda wowote hata saa mbili usiku na kila aliyeko kwenye ofc hio kapaki ndinga nje ujionee ambayo hujawahi kuona …

nje ya ofc hizo kuna bango gani na wanajitangaza kua wanafanya nini utajua ukifika.

ikiwa kitu hujui au huamini ni bora ukabaki na kile unachokiamini ila sio kukomaza shingo na kujifanya unajua kila kitu.
Wewe ni mwongo
 
wakati wewe unajiona una akili sana hapo unapoishia ndipo wengine wanaanzia.

siku ukitembelea Mwanza njoo Nyakato karibu na shule ya Msingi Buzuluga nikupeleka chemba moja ambapo salaamu yao ni good morning muda wowote hata saa mbili usiku na kila aliyeko kwenye ofc hio kapaki ndinga nje ujionee ambayo hujawahi kuona …

nje ya ofc hizo kuna bango gani na wanajitangaza kua wanafanya nini utajua ukifika.

ikiwa kitu hujui au huamini ni bora ukabaki na kile unachokiamini ila sio kukomaza shingo na kujifanya unajua kila kitu.
Wewe ni mwongo
 
wakati wewe unajiona una akili sana hapo unapoishia ndipo wengine wanaanzia.

siku ukitembelea Mwanza njoo Nyakato karibu na shule ya Msingi Buzuluga nikupeleka chemba moja ambapo salaamu yao ni good morning muda wowote hata saa mbili usiku na kila aliyeko kwenye ofc hio kapaki ndinga nje ujionee ambayo hujawahi kuona …

nje ya ofc hizo kuna bango gani na wanajitangaza kua wanafanya nini utajua ukifika.

ikiwa kitu hujui au huamini ni bora ukabaki na kile unachokiamini ila sio kukomaza shingo na kujifanya unajua kila kitu.
Wewe msukuma acha urofa kwaiyo hao qnet ni freemasons?
 
Back
Top Bottom