Kashfa za Ngono zaanza kumgharimu Diddy, ajiuzulu Uenyekiti wa 'REVOLT, Shule anayoidhamini yavunja uhusiano naye

Kashfa za Ngono zaanza kumgharimu Diddy, ajiuzulu Uenyekiti wa 'REVOLT, Shule anayoidhamini yavunja uhusiano naye

wakati wewe unajiona una akili sana hapo unapoishia ndipo wengine wanaanzia.

siku ukitembelea Mwanza njoo Nyakato karibu na shule ya Msingi Buzuluga nikupeleka chemba moja ambapo salaamu yao ni good morning muda wowote hata saa mbili usiku na kila aliyeko kwenye ofc hio kapaki ndinga nje ujionee ambayo hujawahi kuona …

nje ya ofc hizo kuna bango gani na wanajitangaza kua wanafanya nini utajua ukifika.

ikiwa kitu hujui au huamini ni bora ukabaki na kile unachokiamini ila sio kukomaza shingo na kujifanya unajua kila kitu.
Hizi ni story za wajinga wajinga kama wewe wasio na akili.. Usitake kusema na wew una akili
 
wakati wewe unajiona una akili sana hapo unapoishia ndipo wengine wanaanzia.

siku ukitembelea Mwanza njoo Nyakato karibu na shule ya Msingi Buzuluga nikupeleka chemba moja ambapo salaamu yao ni good morning muda wowote hata saa mbili usiku na kila aliyeko kwenye ofc hio kapaki ndinga nje ujionee ambayo hujawahi kuona …

nje ya ofc hizo kuna bango gani na wanajitangaza kua wanafanya nini utajua ukifika.

ikiwa kitu hujui au huamini ni bora ukabaki na kile unachokiamini ila sio kukomaza shingo na kujifanya unajua kila kitu.
Tulia weweee na saundi zako za kisoro.
 
atakua amekiuka masharti ya freemason huyu na kawaida yao wanakufanya unakua kapuku dakika 0 na ikibidi unakufa kabisa
Wewe ulikosea masharti yao kabla hata hujazaliwa kwa sababu ni kapuku hadi wa akili
 
Sijui kwanini kila black icon wa uko nje akishakua juu tu then swala la unyanyasaji wakingono, and other problems vinaibuka inamaana wakina eminem hawajawi kunyanyasa watu kingono!
Jiulize hapa Tanzania ikitokea wanawake wameamua kwenda kuripoti matukio ya kingono waliyowahi kufanyiwa bila ridhaa yao ni wangapi watapona? Watu weupe wanapenda ngono kuliko sisi ila wanaheshimu wanawake na wanajitahidi kuelewa mwanamke akisema hapana.
 
wakati wewe unajiona una akili sana hapo unapoishia ndipo wengine wanaanzia.

siku ukitembelea Mwanza njoo Nyakato karibu na shule ya Msingi Buzuluga nikupeleka chemba moja ambapo salaamu yao ni good morning muda wowote hata saa mbili usiku na kila aliyeko kwenye ofc hio kapaki ndinga nje ujionee ambayo hujawahi kuona …

nje ya ofc hizo kuna bango gani na wanajitangaza kua wanafanya nini utajua ukifika.

ikiwa kitu hujui au huamini ni bora ukabaki na kile unachokiamini ila sio kukomaza shingo na kujifanya unajua kila kitu.
mkuu ni good more earning sio goodmorning
 
wakati wewe unajiona una akili sana hapo unapoishia ndipo wengine wanaanzia.

siku ukitembelea Mwanza njoo Nyakato karibu na shule ya Msingi Buzuluga nikupeleka chemba moja ambapo salaamu yao ni good morning muda wowote hata saa mbili usiku na kila aliyeko kwenye ofc hio kapaki ndinga nje ujionee ambayo hujawahi kuona …

nje ya ofc hizo kuna bango gani na wanajitangaza kua wanafanya nini utajua ukifika.

ikiwa kitu hujui au huamini ni bora ukabaki na kile unachokiamini ila sio kukomaza shingo na kujifanya unajua kila kitu.
Hao wa Goodmorning masaa yote Ni matapeli wa QNET.

Though sijakataa Freemason is real.
 
mimi sizungumzii Qnet sasa kuna njemba zingine Qnet wakasome halafu Qnet ni good more earning sio good morning.

Hamna bana we msukuma muongo tu hamna cha freemasons wala nini hapo hao ni qnet au ndugu zao ndio mabingwa wa kupiga picha na magari ya kifahari
sasa wewe unakomaa na Qnet komaa sasa.

kwanza aliyekwambia mi msukuma nani ?
 
Kwenye kesi za kipumbavu kama hizi ndio hua nawaona wazungu ni wendawazimu, yani kesi ya mwaka 90+ mtu anakuja kuileta Leo alikua wapi miaka yote hiyo 🤔🤔 alafu mtu katuhumiwa tuu tayali wanaanza kumhukumu kama wamekua mahakama 🤔🤔 sijui wana wachukulia wanawake kama viumbe wa namna gani huko 🤔 ukiwa na kesi nae umeisha, mwanetu kayakanyaga
 
Why hawakusema before ni now??
Kwa sababu kesi nyingi za namna hii Huwa ni za kutengeneza tu na hazinaga ukweli wowote na wanaoibuaga tuhuma hizi wengi Huwa wanatumika na maadui wa mtuhumiwa mwenyewe au muda mwingine unakuta ni kisasi tu, mwanamke aliachana vibaya na didy huko nyuma hivyo amekaa na chuki moyoni kwa miaka mingi sasa anaona huu ndio muda muafaka wa kummaliza..... na pia ufahamu kwamba hizo nchi za wenzetu wanaume wanakandamizwa sana na Sheria na wanawake wanaouchukia wanaume(feminists) wanatumia mianya kama hii kuwakomesha kabisa wanaume kama, maana furaha ya feminist yoyote yule hapa duniani ni kuona mwanaume hasa mwenye mafanikio anaanguka kabisa.
 
Kwenye kesi za kipumbavu kama hizi ndio hua nawaona wazungu ni wendawazimu, yani kesi ya mwaka 90+ mtu anakuja kuileta Leo alikua wapi miaka yote hiyo 🤔🤔 alafu mtu katuhumiwa tuu tayali wanaanza kumhukumu kama wamekua mahakama 🤔🤔 sijui wana wachukulia wanawake kama viumbe wa namna gani huko 🤔 ukiwa na kesi nae umeisha, mwanetu kayakanyaga
I am glad Bado Kuna wanaume kama wewe ndugu wanaangalia hili suala la angle tofauti...

Kaka kiukweli Huwa haingii akili hata kidogo eti mtu amefanya tukio miaka 31 iliyopita, halafu eti anakuja kushtakiwa Leo na miaka yote hiyo alikuwepo tu na aliyetendewa yupo tu anamuona, halafu eti watu wanachukulia serious..!! Bro huu Huwa ni upumbavu na uonevu wa kiwango cha juu kabisa, ndio maana Huwa nasema nchi za magaribi Zina justice system mbovu sana na kandamizi hususani kwa mwanaume.

Kwanza kwa miaka yote hiyo huwezi kupata vithibitisho vya hukakika visivyokuwa na shaka
 
Back
Top Bottom