Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sheria za unyanyasaji kwa wazungu ni kandamizi sana kwa wanaume, yani hata ukizingishiwa tuu tayali jamii nzima inakugeuka mfano mzuri ni bwana mdogo Greenwood mchezaji wa Manchester united na John Dep maarufu kama jack Sparrow walitengwa na jamii hadi watu kuandamana kabisa alafu kesi zilikua za kuzingishiwa, cha kushangaza hao hao wazungu ndio wanajiita wapenda hakiI am glad Bado Kuna wanaume kama wewe ndugu wanaangalia hili suala la angle tofauti...
Kaka kiukweli Huwa haingii akili hata kidogo eti mtu amefanya tukio miaka 31 iliyopita, halafu eti anakuja kushtakiwa Leo na miaka yote hiyo alikuwepo tu na aliyetendewa yupo tu anamuona, halafu eti watu wanachukulia serious..!! Bro huu Huwa ni upumbavu na uonevu wa kiwango cha juu kabisa, ndio maana Huwa nasema nchi za magaribi Zina justice system mbovu sana na kandamizi hususani kwa mwanaume.
Kwanza kwa miaka yote hiyo huwezi kupata vithibitisho vya hukakika visivyokuwa na shaka
The whole west is totally fuccked up when it comes to handling man vs woman issue, rape case in particular!Sheria za unyanyasaji kwa wazungu ni kandamizi sana kwa wanaume, yani hata ukizingishiwa tuu tayali jamii nzima inakugeuka mfano mzuri ni bwana mdogo Greenwood mchezaji wa Manchester united na John Dep maarufu kama jack Sparrow walitengwa na jamii hadi watu kuandamana kabisa alafu kesi zilikua za kuzingishiwa, cha kushangaza hao hao wazungu ndio wanajiita wapenda haki