OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Chama bado yupo vile vile hana spidi na hawezi mpira wa kasi. Kuna mechi ngapi Yanga imeingia kipindi cha pili na hakuna ushindi waliopata kwenye hiko kipindi cha pili na muda mwingine huwa wanapelekewa mashambulizi vile vile.Watu walikuwa wanajiuliza, unawezaje kusajili rejected players na bado wakaonesha upinzani uwanjani?
Watu walikuwa wanajiuliza tangu lini Chama akawa na speed?
Now majibu yamekuja kuwa revealed, kuna kitu extra kinatumika.
Wana Simba Wana haha, wanatafuta Kila sababu mwaka huu, mara dopping, mara GSM, mara Marefa, Mara Uchawi duuuuh Simba mnakaribia kuugua kichaaChama bado yupo vile vile hana spidi na hawezi mpira wa kasi. Kuna mechi ngapi Yanga imeingia kipindi cha pili na hakuna ushindi waliopata kwenye hiko kipindi cha pili na muda mwingine huwa wanapelekewa mashambulizi vile vile.
Yani Yanga haina jema😅😅Enjoy anniversary ya mwaka 1 tangu mnara wa 5G upande pale mtaa wa msimbazi acha majungu
Yanga mnaishambulia haichezi vizuri
Inashinda goli 1
Imefungwa na Azam
Inacheza mpira wa kawaida
So now sio GSM tena ananunua match ni kujidunga sindano!Watu walikuwa wanajiuliza, unawezaje kusajili rejected players na bado wakaonesha upinzani uwanjani?
Watu walikuwa wanajiuliza tangu lini Chama akawa na speed?
Now majibu yamekuja kuwa revealed, kuna kitu extra kinatumika.
Siku makolo wakijitambua na kujenga timu yenye ushindani na kuachana na propaganda uchwara ndio wataweza angalau kucompete na YangaYani Yanga haina jema😅😅
Jambo zuri huo ushahidi wa tuhuma utumike kwenye mashitaka pale ikibainika hakuna jambo kama hilo. Yaani utadhani Yanga ni timu ya majongoo ambao kamwe hawawezi kuonekana wakikimbia. Yanga ni timu bora kuliko Makolo ikiwa mnafikia tuhuma za kishamba kama hizi.
View: https://youtu.be/dOwiPeW_QG4?si=VNT4ZThdodLiWfJb
Siri ya Yanga kupata matokeo isiyostahili kipindi cha pili imebainika.
Sasa tutashinikiza mamlaka za michezo ikiwemo CAF, TFF na FIFA zifanye uchunguzi na hatua kali zichukuliwe.
Mnakuwa mnamu overdoze sindanoChama bado yupo vile vile hana spidi na hawezi mpira wa kasi. Kuna mechi ngapi Yanga imeingia kipindi cha pili na hakuna ushindi waliopata kwenye hiko kipindi cha pili na muda mwingine huwa wanapelekewa mashambulizi vile vile.
Sasa yale mabomba ya sindano ni ya kazi gani?Jambo zuri huo ushahidi wa tuhuma utumike kwenye mashitaka pale ikibainika hakuna jambo kama hilo. Yaani utadhani Yanga ni timu ya majongoo ambao kamwe hawawezi kuonekana wakikimbia. Yanga ni timu bora kuliko Makolo ikiwa mnafikia tuhuma za kishamba kama hizi.
GSM anapiga juu na chini yani angle zote yumoSo now sio GSM tena ananunua match ni kujidunga sindano!