Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View: https://youtu.be/dOwiPeW_QG4?si=VNT4ZThdodLiWfJb
Siri ya Yanga kupata matokeo isiyostahili kipindi cha pili imebainika.
Sasa tutashinikiza mamlaka za michezo ikiwemo CAF, TFF na FIFA zifanye uchunguzi na hatua kali zichukuliwe.
Lakini ule mshuti alipiga Chama ukamniga Camara na Kijili akafunga bonge la bao,Mnakuwa mnamu overdoze sindano
Si umecheki kama juzi mlimpiga nyingi mpaka akasizi?
Au hukuona lile tukio alivyooneshwa akiwa amesinzia?
GSM anapiga juu na chini halafu bado kuna wale mawaziri 6,rage ajengewe sanamu lake aiseeGSM anapiga juu na chini yani angle zote yumo
Waliopeleka malalamiko ni Azam baada ya kukuta huo ushahidi wa syringes na kamera kuzibwa sio Simba.Wacha kuweweseka.Ushahidi huo ulikutwa kwenye vyumba vya kubadilishia vya Yanga.Wana Simba Wana haha, wanatafuta Kila sababu mwaka huu, mara dopping, mara GSM, mara Marefa, Mara Uchawi duuuuh Simba mnakaribia kuugua kichaa
Andika vizuri uelewekeLakini ule mshuti alipiga Chama ukamniga Camara na Kijili akafunga bonge la bao,
Chambua kidogo hapo
Yale mabomba ya sindano mara ya mwisho nimeyaona kwenye clinic za PundaGSM anapiga juu na chini halafu bado kuna wale mawaziri 6,rage ajengewe sanamu lake aisee
Kwani mzee mpili anapowachanja chale huwa ni siri!Hivi ni rahisi namna hiyo kumchoma mchezaji professional sindano ya kuongeza nguvu dopping, na hao wachezaji ni wapita njia tu hapo yanga, yaani umuharibie mtu maisha ya soka ya kufungiwa kucheza maisha.
Na wanavyokuwaga na makesi si ungekuta kina mayele , konkon, na wengineo washatoa Siri.
Labda useme mchezaji ajibusti mwenyewe kisiri Siri lakini sio club kufanya hivo
Njoo nikudungeAndika vizuri ueleweke
Au nawe unajidunga?
View: https://youtu.be/dOwiPeW_QG4?si=VNT4ZThdodLiWfJb
Siri ya Yanga kupata matokeo isiyostahili kipindi cha pili imebainika.
Sasa tutashinikiza mamlaka za michezo ikiwemo CAF, TFF na FIFA zifanye uchunguzi na hatua kali zichukuliwe.
View: https://youtu.be/dOwiPeW_QG4?si=VNT4ZThdodLiWfJb
Siri ya Yanga kupata matokeo isiyostahili kipindi cha pili imebainika.
Sasa tutashinikiza mamlaka za michezo ikiwemo CAF, TFF na FIFA zifanye uchunguzi na hatua kali zichukuliwe.
Kwa akili yako kisoda kuna fala ambaye atafanya illegal kama ile na akaacha evidence,rage akukosea kuwaita mbu3Yale mabomba ya sindano mara ya mwisho nimeyaona kwenye clinic za Punda