Kashikashi,vihoja,vituko na mizengwe ya kwenye dalaldala

Kashikashi,vihoja,vituko na mizengwe ya kwenye dalaldala

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Usafiri wa dalaldala ndio usafiri mkubwa na unaotumika na kundi kubwa la raia katika nchi yetu ya uchumi wa kati na hivyo huwakutanisha watu wa aina mbalimbali pamoja kwa muda fulani iwe ni kuelekea kazini, nyumbani, hospitalini, kwenye usahili, kwa michepuko, kwa marafiki n.k

Kwa sababu ya kuwakutanisha watu wengi tofauti pamoja, kuna watu ni wastarabu sana na hujitahidi kusafiri bila kuleta karahaa na makwazo kwa wengine ila pia kuna wasio wastaarabu, mateja na walevi ambao huweza kuleta kero na kuifanya safari fupi kuwa yenye kuchosha sana, hawa ni wale ambao huongea kwa sauti kwenye simu gari zima, kulalia mabega ya abiria wenzao, wasiotaka kusogea kabisa wakiwa wamesimama, wabambiaji, madereva wanaofungulia mahubiri ya dini zao bila kujali kwamba watu katika gari lake ni wa dini tofauti

Watu wanaokutana katika daladala inabidi kuvumuliana sana wakati mwingine. Kuna mtu akikanyagwa kidogo tu ananuna, anasonya au kufoka bila kujua wote ni maskini na mafukara ndio maana mko wote hapo.

Kero, adha, vimbwanga na vituko gani vingine vya daladala umewahi kukutana navyo kutoka kwa abira mwenzako,kondakta au dereva mwenyewe?
 
Dah! Kuna jamaa nilipanda nae daladala mitaa ya bamaga pale, yule jamaa nadhani ndio ilikua mara yake ya Kwanza kupanda usafiri wa daladala.

Mtu wa Kwanza alipodaiwa nauli, akamwambia konda kwamba Kuna jamaa atakupa yupo seat za katikati, konda akataka kuonyeshwa huyo mlipaji Basi akasimama akamuonyesha konda.

Ikaja zamu ya yule jamaa nilipanda nae kulipa nauli, Basi konda aliponyoosha mkono kurusha rusha chenchi kumdai jamaa hela, jamaa akatazama mtu wa pembeni (ambae alikua ni mwanajeshi ,kavaa uniforms kabisa) ndo akamnyooshea kuashiria kwamba mwanajeshi ndo atamlipia nauli(nahisi jamaa alidhani labda ndio utaratibu wa kwenye daladala)maana hakuwa hata akijuana na mwanajeshi

Konda alisita kidogo, lakini baadae akaenda kudai nauli kwa mjeshi, Sasa ile mjeshi kudaiwa nauli akaanza kushangaa, mwisho akamuuliza, huoni gwanda?

Konda akajibu, mie sikudai yako, nakudai ya huyu jamaa.

Daaah! Mpaka nashuka mwenge niliacha zogo la maana
 
Ukitaka uenjoy daladala upande zile zinazoenda au kutoka maeneo ya uswahililni. Kuna wakati zinakuwa na stori za kuchekesha hadi unasahau kama umebanwa na unasafiri kwa shida! Uwakute wamama/wababa wanatoka zao feri kuchukuwa samaki... wana maneno hao... utacheka tu... Nawapenda na kuwaheshimu sana waswazi, wako huru, wanaongea, wanatoa hisia zao, wameyakubali maisha yao..... watu poa sana... Ila ukijifanya wewe mkishua eti sijui wamekugusa na mashombo ya samaki, sijui umekanyagwa ukaanza kulalamika utajuta.... wana maneno ya shomboooo kama hao samaki....

All in all maisha ni mafupi na ni matamu sana... jitengenezee furaha yako mwenyewe!
 
Dah! Kuna jamaa nilipanda nae daladala mitaa ya bamaga pale, yule jamaa nadhani ndio ilikua mara yake ya Kwanza kupanda usafiri wa daladala.

Mtu wa Kwanza alipodaiwa nauli, akamwambia konda kwamba Kuna jamaa atakupa yupo seat za katikati, konda akataka kuonyeshwa huyo mlipaji Basi akasimama akamuonyesha konda.

Ikaja zamu ya yule jamaa nilipanda nae kulipa nauli, Basi konda aliponyoosha mkono kurusha rusha chenchi kumdai jamaa hela, jamaa akatazama mtu wa pembeni (ambae alikua ni mwanajeshi ,kavaa uniforms kabisa) ndo akamnyooshea kuashiria kwamba mwanajeshi ndo atamlipia nauli(nahisi jamaa alidhani labda ndio utaratibu wa kwenye daladala)maana hakuwa hata akijuana na mwanajeshi

Konda alisita kidogo, lakini baadae akaenda kudai nauli kwa mjeshi, Sasa ile mjeshi kudaiwa nauli akaanza kushangaa, mwisho akamuuliza, huoni gwanda?
Konda akajibu, mie sikudai yako, nakudai ya huyu jamaa.

Daaah! Mpaka nashuka mwenge niliacha zogo la maana

Nahisi huyo jamaa hakuwa mgeni... alifanya makusudi😀😀😀😀 na hakuwa na nauli.....
 
Hii chai mkuu ya moto sana mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
Dah! Kuna jamaa nilipanda nae daladala mitaa ya bamaga pale, yule jamaa nadhani ndio ilikua mara yake ya Kwanza kupanda usafiri wa daladala.

Mtu wa Kwanza alipodaiwa nauli, akamwambia konda kwamba Kuna jamaa atakupa yupo seat za katikati, konda akataka kuonyeshwa huyo mlipaji Basi akasimama akamuonyesha konda.

Ikaja zamu ya yule jamaa nilipanda nae kulipa nauli, Basi konda aliponyoosha mkono kurusha rusha chenchi kumdai jamaa hela, jamaa akatazama mtu wa pembeni (ambae alikua ni mwanajeshi ,kavaa uniforms kabisa) ndo akamnyooshea kuashiria kwamba mwanajeshi ndo atamlipia nauli(nahisi jamaa alidhani labda ndio utaratibu wa kwenye daladala)maana hakuwa hata akijuana na mwanajeshi

Konda alisita kidogo, lakini baadae akaenda kudai nauli kwa mjeshi, Sasa ile mjeshi kudaiwa nauli akaanza kushangaa, mwisho akamuuliza, huoni gwanda?
Konda akajibu, mie sikudai yako, nakudai ya huyu jamaa.

Daaah! Mpaka nashuka mwenge niliacha zogo la maana
 
Mie leo hii hii nimepanda nikakaa siti ya wawili na li baba limoja sijui la wapi lile yani limetanua mamiguu yake mpaka kero...!
Haahaaa,pole sana,ndio changamoto za usafiri wa daladala inahitaji uvumilivu tu.
 
Mimi jana nilipanda daladala na nikabahatika kupata sit asa pale kwenye korido alisimama jamaa na demu chaajabu yule demu akawa anamsogezea jamaa mk*ndu mshikaji

Mshikaji nayeye akawa anampelekea huku ananiangalia mimi, nilivyokaribia kushuka nikamtonya jamaa njoo ukae hapa me nashuka jamaa akakataa na akamwambia mtu aliyekua nyuma yake akae

Sijui huko mbele ilikuwaje[emoji16][emoji16][emoji16]
Kwenye daladala kuna vioja sana.
 
Mimi jana nilipanda daladala na nikabahatika kupata sit asa pale kwenye korido alisimama jamaa na demu chaajabu yule demu akawa anamsogezea jamaa mk*ndu mshikaji

Mshikaji nayeye akawa anampelekea huku ananiangalia mimi, nilivyokaribia kushuka nikamtonya jamaa njoo ukae hapa me nashuka jamaa akakataa na akamwambia mtu aliyekua nyuma yake akae

Sijui huko mbele ilikuwaje[emoji16][emoji16][emoji16]
Kwenye daladala kuna vioja sana.
[emoji28] jamani, sio kuwa bibie alikuwa amebanwa na abiria wenzake? Jamaa nae atakuwa basha!
 
Mimi jana nilipanda daladala na nikabahatika kupata sit asa pale kwenye korido alisimama jamaa na demu chaajabu yule demu akawa anamsogezea jamaa mk*ndu mshikaji

Mshikaji nayeye akawa anampelekea huku ananiangalia mimi, nilivyokaribia kushuka nikamtonya jamaa njoo ukae hapa me nashuka jamaa akakataa na akamwambia mtu aliyekua nyuma yake akae

Sijui huko mbele ilikuwaje[emoji16][emoji16][emoji16]
Kwenye daladala kuna vioja sana.
Utamu sio mchezo ukute huyo jamaa alipitiliza vituo kibao
 
[emoji28] jamani, sio kuwa bibie alikuwa amebanwa na abiria wenzake? Jamaa nae atakuwa basha!
Nadhani yule demu alikua anamfanyia makusudi ili akojoe[emoji16][emoji16] na naamini huko mbeleni mshikaji alikijoa
 
Back
Top Bottom