Tetesi: Kashogi hakuumia wakati anakatwa kichwa alishakufa

Hakuna video bali ipo tu sauti ambayo saa yake imerekodi.iyo video sio yeye ni watu tu wanawaongopea wapige pesa
 
1. Kummiminia Tundu Lisu risasi 30

2. Kukata kichwa kwa shoka Alphonce mawazo

3. Kumsambaratisha matumbo Saudi mwangosi

4. Kumkata shingo mwenyekiti cdm USA liver Arusha

Nk nk

Tanzania ni zaidi ya kashogi
unatafuta bwana
 
Jaman tuwe tunajiongea kidogo inapotokea inshu kama hii.hapo mnaona kabisa kuna jamaa pembeni kashika video camera yeye ndo ana record tukio zima,wakati inshu ya kashogi ni saa yake ndo ime record sauti na wala sio video.iyo video mnayo nyinyi tu huku africa hata ikulu ya marekani na turkey hawana iyo video
Video niyeye labda uliyoiona wewe sio ukiona jamaa wamevaa makirikiri kama ya jwtz ndio yenyewe
 
Anywa Anyway hata trump alisema juu ya kusikia sauti
 
Kama walikuwa wakitaka kumuua kwanini wasimchinje na machine jamani
 
Sio video ya kashoggi hiyo..na huyo sio yeye..that guy is millitary ukimuangalia vizuri unaona amevaa gwanda..Am sure hiyo ni clip ya nchi za uatabuni kwny machafuko huko..kati ya vikosi vya serikali na waasi..
ni yeye mkuu,,kumbuka alivyoingia walimvua nguo zake na kumvalisha mtu mwingine aliyeonekana akitoka ndio maana mgogoro ulipopamba moto kwamba kashogy hakutoka ubalozini baada ya kuingia saudia walitoa video ikionyesha mwanaume mmoja akitoka amevaa nguo zake ila watu walikataa kuwa sio yeye bali kavalishwa nguo zake,,hilo suruali alivalushwa tu na hao wauaji
 
Funny thing hao wauaji na wenyewe watakuja kufa..... Sijui kwanini watu hudhani kifo ndio adhabu pekee na kama ni adhabu basi na wao wataipata, hapo ndio ninaposhangaa.
 
mbona wanongea kama kispanish mkuu badala ya kiarabu?
 
Kama walikuwa wakitaka kumuua kwanini wasimchinje na machine jamani
ilikua na heist ya haraka mno , kumbuka alikuja hapo kama 'zalula' , huo mda wa mashine haukuwepo maana angeweza kusepa na wangemkosa
 

Mimi mpaka hapa nina uhakika wakati anakatwa shingo alikuwa bado hajafa, ilikuwa bado yupo kwenye ulevi wa hicho walichomwekea. Coz mtu akishakufa hawezi kutoka damu nyingi kiasi kile, ile damu ilivyokuwa inatoka inaonyesha bado ilikuwa inatembea/inasukumwa mwilini ndio maana ilikuwa na spidi ya kutoka nje..!

But huwa siku zote nasema MUARABU ana roho katili kuliko binadamu yeyote yule kuwahi kutokea duniani. Ingetokea Waarabu wangekuwa na nguvu za kiuchumi na kijeshi kama USA au China au USSR, dadadeki, huku duniani tungepiga deki bahari..!
 
Tanzania hatujafikia huko ila tumuombe mungu tusifike ya kina kashogi video ya kashogi wakati anakatwa kichwa wakinamama wasiiangalie watablid bila kutarajia

Hapana Mkuu, Kashogi kwa mujibu wa mleta mada hakusikia maumivu kwa sababu alichomwa sindano ile ya kufanya usauaji, vipi kuhusu:
1. Lisu Tundu
2. Alphonce mawazo
3. Mwangosi
4. Azori
5. saanane
 
Hiyo video ni fake hakuna kitu kama hicho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…