kwa-muda
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 2,097
- 5,348
Usiende mbali hapo juzi juzi tu Afrika ya Kati wakati kuna mapigano ya Kidini niliona clip waafrika wanaua mtu wanamla nyama mbichi mbichi na kunywa damu, hapo Congo waasi nasikia wamewatafuna mbirikimo kama wanyama. Pia kila siku wanaua watu na kuwakata wanawake sehemu za siri na maziwaHahahaa umeona mkuu, kisa eti mweupe..