Tetesi: Kashogi hakuumia wakati anakatwa kichwa alishakufa

Tetesi: Kashogi hakuumia wakati anakatwa kichwa alishakufa

Ile video nimeangalia mara moja tuu...
Inathibitisha ni kiasi gani wanadamu tulivyoamua kumuweka mwenyezi mungu pembeni na kumtoa kabisa ktk mfumo wa maisha yetu ... bila ya hofu ya kufanya hivyo.. sisi ndio wanadamu.[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
 
Maneno meengi hayajengi,ukatili huu sio wa kufumbia macho.
Kama unaroho ndogo tafadhali usiiangalie,Waarabu sio watu.View attachment 940601
Ooh my God[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji22] [emoji22] [emoji22] ....jamani shoka limenyanyuliwa nikaanguka chini!

This world[emoji24] [emoji22] [emoji22] [emoji22]
 
Inatisha inatisha inatisha umekua wimbo kuweka hapa hamtaki kama inatisha kwann mmeanzisha uzi kenge mjamzito we
Imeshawekwa na jembe nani sijui....mi nimeshindwa kuangalia[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji22] [emoji22]
 
Daa hu ni unyama walah binadamu hawana utu.
Yani haifai kuangalia . Kwa ambao hamjaiona siwashauri muitizame
 
No
Yaani huogopi
We itakuwa unaangalia horror movies sana
Nina roho ngumu lkn kwa hii sijaimaliza mkuu...shoka limenyanyuliwa nikanguka na simu nimedondosha[emoji24] [emoji24] [emoji22] [emoji22]... ..siwezi na siangalii tena!
 
Dah hapa sio duniani tena aisee,nahisi tulishahama duniani na tupo kuzimu kwa mashetani.Nooo this is too much kwa kweli.
 
Back
Top Bottom