Kasi ya kuzaa kwa Wasichana wadogo Mkoa wa Lindi inahitaji Ufumbuzi kwani taifa linaangamia

Kasi ya kuzaa kwa Wasichana wadogo Mkoa wa Lindi inahitaji Ufumbuzi kwani taifa linaangamia

Tofauti ya wao na sisi ni kipato. At 17 mtoto ameshaanza kuondoka nyumbani na kuwa na kipato ambacho ni sustainable, mtu ana career, ana kwake ana usafiri hata kama wa kawaida. Miaka 25-30 wanatafuta kukuza career au kubadili kabisa.

Njoo huku, miaka 27 watu wengi tu bado maisha hayaeleweki sembuse mtu awe mzazi na aweze kulea, kulipa ada etc 😅
True
 
Kwa sàsa hali itakuwa mbàya zaidi, RAIS karuhusu wazae halafu warudi shule kuendelea na masomo unafikiri hii hali nani ata intervene tena?
TENA RÀIS MWANAMKE.
Hili sio tatizo, huwezi kuwa na taifa la watu wajinga kisa wamezaa mapema tu. Tatizo lilianza na yule aliyewaambia watu wafyatue tu elimu ni bure, hapo ndipo mambo yote ya uzazi wa mpango yalitupwa kwenye dustbin rasmi.
 
Ni katika mazingira gan hasa hii hali ni serious? Rural context au urban slums?. Suluhu hapo ni kuongeza mikakati wezeshi kwa vijana mana iliyopo haitoshi na nina uhakika hili tatizo limefungamana na umaskini. Na kwa kawaida tatizo lolote likifungamana na umaskin haliomdoki mpaka umaskini uondoke (Norcela & Jamrozik 1998)
Rural area iko severe zaidi kuliko maeneo ya urban uko sahihi umasikini unachangia hasa!
 
Basi ukifika Singida ndani ndani utalia sana kiongozi. Mwanamke wa miaka 32 Singida anategemewa kuwa bibi wakati wowote.

Wanabeba mimba wakiwa wadogo sana na ni kitu cha kawaida kwao miaka 15 ni mtu mzima kabisa na analazimisha yeye mwenyewe kubeba mimba.
Mbona hata miaka 14 ni mtu mzima ..tuna danganya na wazungu kuhusu utoto...miaka 14 ni kijana mdogo anaelekea kuwa kijana kamili miaka 18
 
Hao mbona wameelimika sana. Seems haujatembea vya kutosha katika hiyo nchi .
Hiyo nchi intervention zipo nyingi sana ila zinachangia kupofua macho jamii badala ya kuzielimisha, takwimu zinazotolewa ni za uongouongo tu kubabae (kumbe kbabae inaruhusiwa humu ndiy maana haiaweka vinyotanyota ili kuficha, sasa kuanzia sasa mtanikoma kubabae zenu) . Nenda Singida, maeneo wanaishi wasukuma. Huko mtoto wa miaka 13 hadi 15 mimba ni kitu cha kawaida sana.
Sijjauona huo uzi wa Arusha. Ningechangia kitu. Ila Arusha ni pkifala zaidi. Arusha watoto wa kike wapo salama mara 80 kuliko watoto wa kiume. Ukiwa una mtoto wa kiume Arusha hadi Moshi ni sawa na kulala mlango wazi wakati una mali ndani.
Kesi nyingi za ubakaji Arushi ni wanaum kulawitiwa, nadra kukuta mwanamke amebakwa, (sisemi wanawake wabakwe), Moshi hawabaki ila wanajilewea zao halafu wanaenda kupinduana.
Kuna matatizo mengine ya jamii hayawezi kutibiwa yenyewe kama yenyewe. Matatizo mengine mpaka kitibiwe kitu kingine kabisa ili tatizo lile lijishepu na kukaa sawa. Hawa wanaozaa mapema tayari walikuwa kwenye risk ya kupata ukimwi kwani kinga haikutumika hapo. Rashidi Jololo ana Ngo inapambana na ukimwi kufikia 95-95-95 ya mwaka 2030 cha ajabu humu hatokei
Rural area iko severe zaidi kuliko maeneo ya urban uko sahihi umasikini unachangia hasa!
Hizo kesi hazichomoki huko umaskinini ni utakuta hata care ngazi ya familia kwa mtoto aliye katika rika hatarishi haina viwango kizuri. Niliwah kukutana binti mdogo mbagala pale zakiem kama 17 hiv katoroka huko. Watu wanajadili namna ya kumsaidia na jamaa mmoja akajizolea mke mbichi palepale
 
Kama females ni wachache, acha wazaane sana kuziba pengo, ila najua hii ni changamsha JF haina uhalisia
Ndiyo uhalisia huo mkuu au haujawahi kuishi rural area? Au upo kwa shemeji hapo kimara bonyokwa ukimsaidia dada kufua nguo za ndani za shemeji na kubadilisha nepi mtoto? Tembea bwana au umemaliza chuo mwaka huu?
 
Back
Top Bottom