Kasi ya kuzaa kwa Wasichana wadogo Mkoa wa Lindi inahitaji Ufumbuzi kwani taifa linaangamia

Kasi ya kuzaa kwa Wasichana wadogo Mkoa wa Lindi inahitaji Ufumbuzi kwani taifa linaangamia

Kuna matatizo mengine ya jamii hayawezi kutibiwa yenyewe kama yenyewe. Matatizo mengine mpaka kitibiwe kitu kingine kabisa ili tatizo lile lijishepu na kukaa sawa. Hawa wanaozaa mapema tayari walikuwa kwenye risk ya kupata ukimwi kwani kinga haikutumika hapo. Rashidi Jololo ana Ngo inapambana na ukimwi kufikia 95-95-95 ya mwaka 2030 cha ajabu humu hatokei

Hizo kesi hazichomoki huko umaskinini ni utakuta hata care ngazi ya familia kwa mtoto aliye katika rika hatarishi haina viwango kizuri. Niliwah kukutana binti mdogo mbagala pale zakiem kama 17 hiv katoroka huko. Watu wanajadili namna ya kumsaidia na jamaa mmoja akajizolea mke mbichi palepale
Hawa KATAA NDOA wanatuharibia Taifa, wanazaa hovyo hovyo na kutelekeza watoto
 
Basi ukifika Singida ndani ndani utalia sana kiongozi. Mwanamke wa miaka 32 Singida anategemewa kuwa bibi wakati wowote.

Wanabeba mimba wakiwa wadogo sana na ni kitu cha kawaida kwao miaka 15 ni mtu mzima kabisa na analazimisha yeye mwenyewe kubeba mimba.
Yaani 15 anakulazimisha abebe mimba? Kabla ya ndoa? Je anafikira atamleaje bila misingi yoyote ya kiuchumi?

Wanarahisisha sana maisha mwisho wa siku wanaishi kama jehanamu
 
Kaka Baadhi ya Wanawake wanaishi Jehanamu. Imagine msichana kama huyu ndio maisha yake mpaka anazeeka au anakufa.
Tafiti za sample ndogo majibu yake hayana credibility

Ni kweli wanazaa mapema ila sio fukara kihivyo

Huku wanavuna kunde, mahindi, mbaazi, ufuta, korosho na vyote vina soko

Ardhi ya kutosha, mvua za kutosha


Hawalali njaa
 
Niliwh kufanya intern moja kwenye NgO moja kubwa hapa Tz wale jamaa walikuwa wanawapa favour wtu wa tamisemi kupata credits na vipaumbele kwenye hao funders ikiwemo recommendations. Sijawahi kuona ujanja ujanja kama pale asee jamaa hawana wataalam kabisa yani. Mnaya zaid NgO ni ya afya lakin hakuna mtaalam wa afya ya jamii hata mmoja. Wamejazana watoto wa muhas tu
USAID waligomaga kutoa fund kwa sabab ya ukaribu wao na wafanyakazi wake. Fund inaombwa kama mtu anavyoomba maji ya kunywa
Tanzania ilikuwa kwenye kufikia 90-90-90. Walivyoenda kwenye mikutano ya PEPFAR na kusikia Zimbabwe inapongezwa kwa kufikia 95-95-95, ghafla Data za Tanzania zikaanza kusoma 95-95-95, wakati hali ya maambukizi inazidi kuwa worse.

Hao wenye NGOs za mapambano ya ngoma wanajua kuandaa reports kwa ajili ya kumfurahisha donor tu, bila kuzingatia impacts waliyopelekea kwenye jamii, huku situation inazidi kuwa mbaya.

Lengo la NGOs za UKIMWI ni like ambalo halijaandikwa, yaani ni sehemu ya kuboresha uchumi na maisha ya watu wa hizo NGOs kuliko wahanga.
wa kulaumiwa siyo NGOs pekee, pia serikali , sababu ndiyo inaweka mazingira hayo, wasimamizi wa vitengo serikalinibwanazituhumu NGOs kupewa hela nyingi ambazo wanakul wenyewe halafu wanataka rating ya serikali. NGOs zina lazimika ku comply na unofficial demands za waenye mamlaka na hapo zinaamua kushiriki dhambi ili ziwe salama kwa kpewa ratings, wanatafuta namna ya kuwakatia mafungu kupitia tenders, tranings, capacity buildings na supervision, ajira n.k.
Poleni sana mwe bandu ba Kyala
 
Serikali ni kama imetelekeza kabisa suala la elimu na huduma za uzazi wa mpango kwa umma.

Sisikii tena zile kampeni za nyota ya kijani katika redio!
Wafadhili wamejitoa wanawekeza kwenye Uchawa tu
 
Tanzania ilikuwa kwenye kufikia 90-90-90. Walivyoenda kwenye mikutano ya PEPFAR na kusikia Zimbabwe inapongezwa kwa kufikia 95-95-95, ghafla Data za Tanzania zikaanza kusoma 95-95-95, wakati hali ya maambukizi inazidi kuwa worse.

Hao wenye NGOs za mapambano ya ngoma wanajua kuandaa reports kwa ajili ya kumfurahisha donor tu, bila kuzingatia impacts waliyopelekea kwenye jamii, huku situation inazidi kuwa mbaya.

Lengo la NGOs za UKIMWI ni like ambalo halijaandikwa, yaani ni sehemu ya kuboresha uchumi na maisha ya watu wa hizo NGOs kuliko wahanga.
wa kulaumiwa siyo NGOs pekee, pia serikali , sababu ndiyo inaweka mazingira hayo, wasimamizi wa vitengo serikalinibwanazituhumu NGOs kupewa hela nyingi ambazo wanakul wenyewe halafu wanataka rating ya serikali. NGOs zina lazimika ku comply na unofficial demands za waenye mamlaka na hapo zinaamua kushiriki dhambi ili ziwe salama kwa kpewa ratings, wanatafuta namna ya kuwakatia mafungu kupitia tenders, tranings, capacity buildings na supervision, ajira n.k.
Poleni sana mwe bandu ba Kyala
Umeorodhesha mambo mtanhuka sana. Asante
 
Wafadhili walijitoa kutokana na misimamo ya jiwe kuwa kinyume na uzazi wa mpango. Ili wafadhili warudi serikali inabidi ionyeshe nia tena kwanza kwamba inathamini uzazi wa mpango.
Mbona mambo ya Yaas yamerudi?
 
Back
Top Bottom