Kasi ya vijana wa kiume kupungua kuoa si kwajili ya kuogopa majukumu, Kuwaoa wanawake wa sasa kikristo ni kujipiga kitanzi

Kasi ya vijana wa kiume kupungua kuoa si kwajili ya kuogopa majukumu, Kuwaoa wanawake wa sasa kikristo ni kujipiga kitanzi

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Kwa kuwa nchi ina wakristo wengi basi ndoa nyingi huwa zinategemewa kuwa za kiksto, kupungua kwa kasi ya kuoa kumelenga zaidi kwa vijana wa kikristo.

Ndoa za kiislam na kitamaduni vijana wanaendelea kuoa kama kawaida,

Wengi wanatumia kisingizio cha majukumu lakini hakuna ukweli, kuna vijana wengi wapo 35+ wana kazi zao nzuri au biashara zao lakini hawataki kabisa kusikia suala la ndoa, wana wanawake wanaoishi nao bila ndoa, wana watoto wanaowasomesha shule nzuri lakini hawataki kabisa kusikia ishu ya ndoa

Ukweli ni kwamba kuoa wanawake wa sasa kwa ndoa ya kikristo ni kujipinga kitanzi !!!!
 
Kwa kuwa nchi ina wakristo wengi basi ndoa nyingi huwa zinategemewa kuwa za kiksto, kupungua kwa kasi ya kuoa kumelenga zaidi kwa vijana wa kikristo.

Ndoa za kiislam na kitamaduni vijana wanaendelea kuoa kama kawaida,

Wengi wanatumia kisingizio cha majukumu lakini hakuna ukweli, kuna vijana wengi wapo 35+ wana kazi zao nzuri au biashara zao lakini hawataki kabisa kusikia suala la ndoa, wana wanawake wanaoishi nao bila ndoa, wana watoto wanaowasomesha shule nzuri lakini hawataki kabisa kusikia ishu ya ndoa

Ukweli ni kwamba kuoa wanawake wa sasa kwa ndoa ya kikristo ni kujipinga kitanzi !!!!
Matukio yanayoendelea nq mmomonyoko wa maadili among wqnawake unawafqnyq wafikiri mara 2
 
wana wanawake wanaoishi nao bila ndoa, wana watoto wanaowasomesha shule nzuri lakini hawataki kabisa kusikia ishu ya ndoa

Ukweli ni kwamba kuoa wanawake wa sasa kwa ndoa ya kikristo ni kujipinga kitanzi !!!!
Screenshot_20241020_231930_Samsung Internet.jpg
 
Back
Top Bottom