Kaskazini ya Kenya yazidi kufunguka, maendeleo kote

I see....mmechoka na Nairobi sasa. Maana inazidi kuchakaa
 
Maendeleo Northern Kenya yanakuwasha sana, sadly you cannot do anything about it labda umeze wembe au sumu. Pole sana ndugu.
Lol! Haya ndio maendeleo? we mkenya unatia aibu kweli kweli! Sikuwezi ukapuku huu[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
 
I see....mmechoka na Nairobi sasa. Maana inazidi kuchakaa

Poleni.... Tunajua, Dunia nzima inajua Darislum ni zaidi ya Yemen..... Mara Cholera, mara 70% ya wakaaji wanaishi kwenye slums,, Najua.... Maisha ni magumu....
 
Poleni.... Tunajua, Dunia nzima inajua Darislum ni zaidi ya Yemen..... Mara Cholera, mara 70% ya wakaaji wanaishi kwenye slums,, Najua.... Maisha ni magumu....
Povuuu
 
ok haina mbaya na Mungu asaidie maana other factors remain constant...
 
Hope ni rallying call yako binafsi mwenzangu. Kwani Kama ni jubilee Hawa sahau. Ni kesema na kuiba!!!


Uliko toa siasa haya zirudishe huko huko, mimi sikutaja siasa, nimeongea mambo ya maendeleo "254". Nadhani hiyo code ya "254" yawakilisha nchi ya Kenya sio jubilee wala nani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…