Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kusema na Kutenda.
I see....mmechoka na Nairobi sasa. Maana inazidi kuchakaaTulifungua nyuzi nyingi sana za mambo makubwa yanayofanyika Kisumu, sema huoni wala husikii.
Kwanza Kisumu inakuja kuwapa ushindani mkubwa sana nyie wa Kolominje, itakua kitovu cha biashara ukanda huu.
SGR inatua hapo Kisumu ambapo kunajengwa bandari kubwa sana itakayo wanufaisha watu wa Mwanza, Kagera, Uganda, Rwanda, Burundi n.k.
hiii ni picha ya zamaniii
Maendeleo Northern Kenya yanakuwasha sana, sadly you cannot do anything about it labda umeze wembe au sumu. Pole sana ndugu.Sio kosa lako tatizo ni uwezo wako naona umegota
Lol! Haya ndio maendeleo? we mkenya unatia aibu kweli kweli! Sikuwezi ukapuku huu[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]Maendeleo Northern Kenya yanakuwasha sana, sadly you cannot do anything about it labda umeze wembe au sumu. Pole sana ndugu.
Kusema na kutenda.Lol! Haya ndio maendeleo? we mkenya unatia aibu kweli kweli! Sikuwezi ukapuku huu[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
I see....mmechoka na Nairobi sasa. Maana inazidi kuchakaa
PovuuuPoleni.... Tunajua, Dunia nzima inajua Darislum ni zaidi ya Yemen..... Mara Cholera, mara 70% ya wakaaji wanaishi kwenye slums,, Najua.... Maisha ni magumu....
Povuuu
ok haina mbaya na Mungu asaidie maana other factors remain constant...Jambo rahisi sana sijui mbona huelewi?
Atakaye fika wa kwanza L.Victoria kati ya KENYA na TANZANIA atakuwa na uwezo wa Control of Great lakes region kibiashara na usafirishaji. Mfano mzuri ni SGR ya Kenya phase 1 toka Mombasa hadi Nairobi ishakamilika(500km) inayobaki ni less than 400km ujenzi ukiendelea.
Tanzania nayo ndio SGR inasemekana ujenzi kuanza na ni zaidi ya kilimita 1100 bila hata bandari itakayotumika hapa ya Bagamoyo.
Je ndugu ukiwa mtu mkweli, ni Nchi gani itafika ya kwanza L. Victoria ukiangazia hayo hapo juu?
Which factors?ok haina mbaya na Mungu asaidie maana other factors remain constant...
What remains constant is that tz will be led by a weird dictator, for the next seven years or so. +1 For Kenya please!Which factors?
Hope ni rallying call yako binafsi mwenzangu. Kwani Kama ni jubilee Hawa sahau. Ni kesema na kuiba!!!