Kaskazini ya Kenya yazidi kufunguka, maendeleo kote

Kaskazini ya Kenya yazidi kufunguka, maendeleo kote

Ndugu yangu unanishangaza, nimetizama hiyo video nimesikitika, hao jamaa Northern Kenya hakika wanaishi kama mashetani,
Jamaa anadai ilichukua siku 2 polisi kufika eneo la tukio, duh hawa middle income vipi?
Yaani Tanzania inaunganishwa kwa lami mikoa YOTE na nchi zetu zote tulizopakana nazo UG, RW, KE, Zambia, Malawi, Zote hizo zimeunganishwa kwa paved roads miaka zaidi ya 10 iliyopita,
Leo 2017 ndio kwanza mnajengewa na WB hiyo Barabara bila aibu mnafungua Uzi.
Kenya ni nchi maskini mno,
Halafu masuala ya Usafiri wa Umma na Mizigo kwa njia zote mna mengi ya kujifunza kwetu,
Jifunzeni hata kwa makampuni ya mabasi ya Abiria yanayopiga routes za Nai-Dar, au Dar Msa
Kwa hiyo video You are poor guys, very poor.
Ni kweli kwamba kuna maeneo mengine hapa kenya ni desert au semi-desert tena waoishi ko wametengwa kimaendeleo kwa miaka mingi sana.
Mbali na kua tulikua na uhusiano mdogo sana wa kibiashara na nchi nyingi za kaskazini na mashariki . Tz mlibahatika kuwa na majirani , Susi huku tuko horn of africa(S.Sudan,Ethiopia,Somali,djibouti,Sudan) wote kama hawako vitani,ni maskini,kama si maskini wamejifungia kibiashara...maeneo haya kame ndani ya Kenya yako na wakaazi wachache sana na wamesambaa kwahivyo ilikua vigumu kuleta project itakayofikia kila mtu, mbali na marginalisation, kwa mfano marsabit county ndo cunty kubwa zaidi hapa Kenya, ardhi yake ni 15% of Kenya lakini interms of population Marsabi iko miongoni mwa top 5 least populated counties ikiwa wakaazi 300,000.

Swali unafaa ujiulize ni imekuwaje kenya inaongoza kiuchumi ilhali 80% ya population inaishi ndani 30% of the landmass. Sasa vile tunafungua haya maene ambayo si watu wengi wanaishi, justimagin the potential boom in our GDP
Marsabit county
Location of Marsabit County in Kenya.jpg


Kenya population density, look at north of Kenya haswaa marsabit and also east. Watu waoishi huku ni wachache, almost 60% of Kenya landmass is unoccupied kwasababu ya harsh environment and poor infrastructure, opening up this region could be game changing for the entire Kenya
View attachment 661841
httpsimage_slidesharecdn.jpg
httpsimage_slidesharecdn(1).jpg
 
A
hapa hakuna kupita kwa m7...
Uganda watapoteza biashara nyingi sana, hao ndo walikua waki re-export finished products to S.sudan, sasa S.Sudan watakua wanapata directly kupitia Kenya
 
si kejeli ila naomba unieleweshe potentuality au advantage iliyonayo kisumu kuliko mwanza ambapo hiyo project italeta difference kubwa hadi kuifanya kisumu kuwa business hub ya lake regions maana ukiingalia population na ukubwa wa jiji , sidhani kama kisumu inafika hata robo tatu ya mwanza , kingine mwanza inacontrol lake zone kwa upande wa Tanzania ambayo ina zaidi ya watu 15 m wakati kisumu ni kama mtoto wa nairobi ..

vipi ni bidhaa gani zimekuwa targeted kufika huku ambayo kumeonakana kuna demand na hakuna close substitute kwa bandari ya dar na tanga (ipo katika upanuzi) ????.....

kumbuka hata sgr ya Tanzania inatarget kufika mwanza mapema plus kama bandari ya Tanga ikipanuliwa kama inavyokadiriwa then ukanda wa kaskazini utarudi Tanzania kibandari....

bado kuna ujenzi wa international airport ambayo itaserve ukanda huu na kwa geographical advantage naona kama kisumu itapata tabu sana kuiondoa supremacy ya mwanza na kama huamini bhasi anza kuifuatilia mwanza maana hata ukuaji wake ni mzuri plus its contribution to national Gdp ni nzuri na ndio kubwa next to dar
Jambo rahisi sana sijui mbona huelewi?
Atakaye fika wa kwanza L.Victoria kati ya KENYA na TANZANIA atakuwa na uwezo wa Control of Great lakes region kibiashara na usafirishaji. Mfano mzuri ni SGR ya Kenya phase 1 toka Mombasa hadi Nairobi ishakamilika(500km) inayobaki ni less than 400km ujenzi ukiendelea.

Tanzania nayo ndio SGR inasemekana ujenzi kuanza na ni zaidi ya kilimita 1100 bila hata bandari itakayotumika hapa ya Bagamoyo.

Je ndugu ukiwa mtu mkweli, ni Nchi gani itafika ya kwanza L. Victoria ukiangazia hayo hapo juu?
 
si kejeli ila naomba unieleweshe potentuality au advantage iliyonayo kisumu kuliko mwanza ambapo hiyo project italeta difference kubwa hadi kuifanya kisumu kuwa business hub ya lake regions maana ukiingalia population na ukubwa wa jiji , sidhani kama kisumu inafika hata robo tatu ya mwanza , kingine mwanza inacontrol lake zone kwa upande wa Tanzania ambayo ina zaidi ya watu 15 m wakati kisumu ni kama mtoto wa nairobi ..

vipi ni bidhaa gani zimekuwa targeted kufika huku ambayo kumeonakana kuna demand na hakuna close substitute kwa bandari ya dar na tanga (ipo katika upanuzi) ????.....

kumbuka hata sgr ya Tanzania inatarget kufika mwanza mapema plus kama bandari ya Tanga ikipanuliwa kama inavyokadiriwa then ukanda wa kaskazini utarudi Tanzania kibandari....

bado kuna ujenzi wa international airport ambayo itaserve ukanda huu na kwa geographical advantage naona kama kisumu itapata tabu sana kuiondoa supremacy ya mwanza na kama huamini bhasi anza kuifuatilia mwanza maana hata ukuaji wake ni mzuri plus its contribution to national Gdp ni nzuri na ndio kubwa next to dar
Bandar ya Tanga isipokamilika mapema plus reli na barabara wafanyabiashara watatumia kisumu kama hubu
 
Kusema na kutenda and so far so good tumeona SGR phase 1 ikianza 2014 na kukamilika 2017 July. Binafsi Nina imani kubwa na Serikali ya Uhuruto na Ruto hadi 2032 Kenya iweze kutimiza ahadi yake ya Vision 2030.
 
Kusema na kutenda and so far so good tumeona SGR phase 1 ikianza 2014 na kukamilika 2017 July. Binafsi Nina imani kubwa na Serikali ya Uhuruto na Ruto hadi 2032 Kenya iweze kutimiza ahadi yake ya Vision 2030.
Hawataki uwaambie kusema na kutenda. Wanangoja hapa kazi tu. Kazi ya domo domo yaani. 😀
 
Wewe acha zako, unasoma taarifa na pressure, hebu rudi ukaisome vizuri hio taarifa, Design ya hio Barbara ndo inakamilika Dec2017 , soma vizuri hapo nimehilight
View attachment 661823 View attachment 661826
Kwahivyo hio stori umjitungia mwenyewe na data zilizo akilini mwakobpekee.

Tofauti ya Wakenya na WaTz ni kwaba sisi hua hatupgi kelele nyingi kama project haijaanza,pale picha zikianza kutoka ndo tunaanza kelle za misifa, lakini watanzania huanza kujipiga kifua wakati project iko feasibility study, utaskia, 'hamtuwezi tena, tumewapiku,mtaisoma number" kwa mfano project kama SGR ya kwendakampala uganda,mmeogelea sana mpaka psychologically ni kama ujenzi ulisakamilika, by the time picha zinaanza kutoka za ujenzi wenyewe, inakua tulishaongelea kila kitu hamna la kusema, inabidi muanze kurudia yale mlishasema wakati siisi hatuna la kusemaanake tulishasema tuliotaka kusema.
Well, hapo nili oversee wakati naipitia! Lakini bado haibadilishi ukweli kuwa project nyingi zinachukua muda, na hapo taratibu zinapokuwa hazijakamilika kwa upande wa tz basi nyie mnaanza mbwembwe kama kawaida yenu!


Halafu ukisema kuwa ninyi hamsemi sana mpaka picha zianze kutoka, huo ni uongo uliotukuka! Tuanza tu na hili la ring road! Mmeanza mbwembwe zamani kabla hata jamii haijahusishwa! Na hapo hakuna picha zaidi ya zile za design!

Mfano mwingine ni Hass towers! Kila siku humu kumejaa renders za haya majengo yanayotegemea kuwa upper hill!
So suala la kuongelea project limewajaa na ninyi!
 
Well, hapo nili oversee wakati naipitia! Lakini bado haibadilishi ukweli kuwa project nyingi zinachukua muda, na hapo taratibu zinapokuwa hazijakamilika kwa upande wa tz basi nyie mnaanza mbwembwe kama kawaida yenu!


Halafu ukisema kuwa ninyi hamsemi sana mpaka picha zianze kutoka, huo ni uongo uliotukuka! Tuanza tu na hili la ring road! Mmeanza mbwembwe zamani kabla hata jamii haijahusishwa! Na hapo hakuna picha zaidi ya zile za design!

Mfano mwingine ni Hass towers! Kila siku humu kumejaa renders za haya majengo yanayotegemea kuwa upper hill!
So suala la kuongelea project limewajaa na ninyi!
Haya basi kwa appreciation for the complete projects, zitaje pia then we compare between renders vs complete ones just to erase the thought you are biased.
 
Haya basi kwa appreciation for the complete projects, zitaje pia then we compare between renders vs complete ones just to erase the thought you are biased.
Mimi ndo nianze kutaja tena[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Hyo kazi labda naweza kufanya ukifungua uzi wake lakini sio kwenye huu uzi
 
Mimi ndo nianze kutaja tena[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Hyo kazi labda naweza kufanya ukifungua uzi wake lakini sio kwenye huu uzi
Umetaja ring road kisumu mbona unaogopa complete projects ama ni unafiq tuu?
 
Wivu ama povu? Lazima owe moja ya hizo zinakunyonga.
He heeeeee! We naona una njaa! Yaani mijadala ya hapa jf inipe sijui wivu? lol nyie wakenya mnachekesha!

BTW rudi tu kwenye mada inahusu maendeleo ya northern kenya!
 
He heeeeee! We naona una njaa! Yaani mijadala ya hapa jf inipe sijui wivu? lol nyie wakenya mnachekesha!

BTW rudi tu kwenye mada inahusu maendeleo ya northern kenya!

Wivu na povu zinakuleta Kenyan News and Politics.
 
Back
Top Bottom