Pongo Pongo
JF-Expert Member
- Jan 15, 2021
- 473
- 586
Kwani msimamo wa ligi wenyewe unasemaje?Kanuni ifuatwe sisi gemu tumecheza tarh 8 saa 11 jion nahuyu kaimu katibu mkuu wa yanga akae ofisin hatutak shobo atulize Mdomo wake
Ninavyoelewa mimi, nipo tayari kusahihishwa mkuu, ni hivi hata nyinyi hamkufuata kanuni, ile mechi yenu haikuisha, kiutaratibu ilitakiwa refa awepo na vishika vibendera then mechi ianzishwe, baada ya hapo yaingie golini magoli matatu, hayo magoli matatu na point tatu hazitoki hewan mkuu, na kila goli mpira unaanzishwa kati, then refa anamaliza mpira.Yanga iogope timu ambayo haiiwezi Prisons? shida yetu ni kanuni tu zifuatwe.
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Sio Ujenzi rukwa?Tunataka kucheza na KATAVI RUKWA, PILSNER, MECCO, RELI au Tukuyu Stars
Imeisha hiyoooKanuni ifuatwe sisi gemu tumecheza tarh 8 saa 11 jion nahuyu kaimu katibu mkuu wa yanga akae ofisin hatutak shobo atulize Mdomo wake
Subirini mkafiniweHaiwezi tokea, mechi ilichezwa trh 8.
Matokeo yalikuaje?Kanuni ifuatwe sisi gemu tumecheza tarh 8 saa 11 jion nahuyu kaimu katibu mkuu wa yanga akae ofisin hatutak shobo atulize Mdomo wake
Hakuna timu yenye viongozi wa hovyo kama YangaSheria ni kisingizio tu, sababu hasa ni kukimbia kichapo cha mbwa mwizi!! Nina uhakika yanga watakuwa radhi kufungwa na biashara kwenye kombe la FA ili mradi tu asikutane na simba!
Na wewe mbumbumbu tulia, Yanga haigopi timu yoyote kwa Tanzania au kwingineko, taratibu zifuatwe pira litapigwa jingi tu.Kanuni gani we uto
Bumbuli kameza matapishi yake kwamba alikuwa anatania
Tatizo lenu nyie mashabiki wa utopolo mnapelekwa sana na hao mnaowaita viongozi
Ongeza kuwa mlikalia 4 kwa Keizer ChiefsKinachowaogopesha hawa wajomba ni hiki hapaView attachment 1807459
Kwanza sijasema hii game haitechezwa ukizingatia kwetu Simba haina tofauti na Ihefu au KMC, ila kuhusu ile siku timu ilikuwepo kwa wakati, waamuzi ndio hawakuwepo, na kazi ya waamuzi kufika uwanjani siyo kazi ya Yanga.Ninavyoelewa mimi, nipo tayari kusahihishwa mkuu, ni hivi hata nyinyi hamkufuata kanuni, ile mechi yenu haikuisha, kiutaratibu ilitakiwa refa awepo na vishika vibendera then mechi ianzishwe, baada ya hapo yaingie golini magoli matatu, hayo magoli matatu na point tatu hazitoki hewan mkuu, na kila goli mpira unaanzishwa kati, then refa anamaliza mpira.
Uongozi wenu ulithibitisha kupokea taarifa ya mabadiliko kutoka TFF, ila mkagoma kwenda kwa muda wa mabadiliko. Ni kwamba mligoma, msipotoshe watu, hii itawatafuna vizazi na vizazi, na wajukuu wetu tutawasimulia hili tukio lenu.Kwanza sijasema hii game haitechezwa ukizingatia kwetu Simba haina tofauti na Ihefu au KMC, ila kuhusu ile siku timu ilikuwepo kwa wakati, waamuzi ndio hawakuwepo, na kazi ya waamuzi kufika uwanjani siyo kazi ya Yanga.
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Msisahau na kuwasilimulia kuwa kiongozi wenu wenyewe (Rage) alisema Simba ni mbumbumbu watupu.Uongozi wenu ulithibitisha kupokea taarifa ya mabadiliko kutoka TFF, ila mkagoma kwenda kwa muda wa mabadiliko. Ni kwamba mligoma, msipotoshe watu, hii itawatafuna vizazi na vizazi, na wajukuu wetu tutawasimulia hili tukio lenu.
Simba hawakutokea muda uliopangwa wa mechi kuchezwa, kwahiyo sheria na kanuni zifuatwe yanga apewe point3Tupe matokeo ya waliyomalizana ....ngapi ngapi?
Mnasema mlishacheza hiyo mechi, sasa ndio tunauliza matokeo. Maana hakuna mechi inayochezwa ikakosa matokeoSimba hawakutokea muda uliopangwa wa mechi kuchezwa, kwahiyo sheria na kanuni zifuatwe yanga apewe point 3
Ahaaaaaa,kumbe ni kaizer,nilijua nyie mnaotafuta sababu za kutukimbia kila siku,na ndio maana tunawatamani tuwaonyeshe kwa nini sisi tuliingia robo fainali ya klabu bingwa Afrikaaaa,hahaaaaaaaaaaa utopolo mnatia aibu mno aiseeeee