Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Waziri mkuu Kassim Majaliwa amekuwa ni mtu mwenye kauli zenye makeke mengi lakini outcome ni kidogo sana.
Leo hii rais anazungumzia kuhusu madudu bandarini, lakini ikumbukwe kuwa yeye siyo wa kwanza kugundua madudu ya huko, infact hata Kassim Majaliwa kipindi cha Magufuli anrwahi kugundua ufisadi wa huko, na mbele ya Camera akaonyesha kukasirishwa sana na yanayotendeka huko. Je mbona madudu huko bandarini yanaendelea?
Je Majaliwa anataka milage ya kisiasa aonekane anafanya kazi lakini kumbe hakuna cha maana kinachoendelea?
Waziri Mkuu amewahi kutoa kauli za kuwajibishwa wale wote waliotajwa katika ripoti ya CAG, Je ni hatua gani zilichukuliwa, iweje leo rais aagize Takukuru kuchukua hatua wakati ni. jukumu lao?
Waziri mkuu amewahi kutueleza juu ya uchunguzi wa kuungua soko la kariakoo, Je ripoti iko wapi?, Nani anahusika na ni nani keshafikishwa mahakamani?
Mbona utendaji kazi wa Waziri mkuu kwenye Camera ni mkubwa kuliko. matunda halisi ya makeke yake tunayoyaona daily kwenye TV?
Je hii Tabia ambayo waziri mkuu aliianza ya kusema Samia ataendelea hadi mwaka 2035 ililenga kumfanya Samia asimuone kama mshindani wake wa kimyakimya na hivyo kurelax juu ya utendaji wake wa kazi(PM)?
Haiwezekani vitu vinapanda bei kila kukicha halafu waziri mkuu yuko yuko tu, haya ndiyo mambo tuliyopaswa kumuona waziri mkuu anahaingaika. Yuko wapi waziri mkuu kutoa briefings kwa umma juu ya mikakati ya kila siku ya serikali kupambana kupunguza ukali huu wa maisha?
Leo hii rais anazungumzia kuhusu madudu bandarini, lakini ikumbukwe kuwa yeye siyo wa kwanza kugundua madudu ya huko, infact hata Kassim Majaliwa kipindi cha Magufuli anrwahi kugundua ufisadi wa huko, na mbele ya Camera akaonyesha kukasirishwa sana na yanayotendeka huko. Je mbona madudu huko bandarini yanaendelea?
Je Majaliwa anataka milage ya kisiasa aonekane anafanya kazi lakini kumbe hakuna cha maana kinachoendelea?
Waziri Mkuu amewahi kutoa kauli za kuwajibishwa wale wote waliotajwa katika ripoti ya CAG, Je ni hatua gani zilichukuliwa, iweje leo rais aagize Takukuru kuchukua hatua wakati ni. jukumu lao?
Waziri mkuu amewahi kutueleza juu ya uchunguzi wa kuungua soko la kariakoo, Je ripoti iko wapi?, Nani anahusika na ni nani keshafikishwa mahakamani?
Mbona utendaji kazi wa Waziri mkuu kwenye Camera ni mkubwa kuliko. matunda halisi ya makeke yake tunayoyaona daily kwenye TV?
Je hii Tabia ambayo waziri mkuu aliianza ya kusema Samia ataendelea hadi mwaka 2035 ililenga kumfanya Samia asimuone kama mshindani wake wa kimyakimya na hivyo kurelax juu ya utendaji wake wa kazi(PM)?
Haiwezekani vitu vinapanda bei kila kukicha halafu waziri mkuu yuko yuko tu, haya ndiyo mambo tuliyopaswa kumuona waziri mkuu anahaingaika. Yuko wapi waziri mkuu kutoa briefings kwa umma juu ya mikakati ya kila siku ya serikali kupambana kupunguza ukali huu wa maisha?