Kassim Majaliwa: Makontena ya Makinikia yanayosafirishwa nje ya nchi ni halali

Kassim Majaliwa: Makontena ya Makinikia yanayosafirishwa nje ya nchi ni halali


Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa amewatoa hofu Watanzania kuhusiana na kuwepo kwa makontena yenye makinikia ambayo yameonekana yakisafirishwa kwenda nje ya nchi kuwa makontena hayo yanasafirishwa kihalali.

Waziri Mkuu amesema hayo bungeni Mkoani Dodoma wakati akijibu maswali ya papo kwa hapo kwa Waziri Mkuu kitendo ambacho hufanyika kila siku ya alhamisi iwapo waziri mkuu anakuwepo bungeni.

Amesema makontena hayo yanasafirishwa chini ya utaratibu maalum ambao umewekwa na Serikali kupitia kampuni ya umma ya madini ya Twiga kwa kushirikiana na wachimbaji wakubwa wa madini.

Waziri Mkuu amesema kinachofanywa sasa na serikali kwa kilichopo ndani ya makontena hayo kukaguliwa na kupimwa kisha serikali kulipwa inachotakiwa kupata na baada ya hapo wahusika wa makontena hayo yenye makinikia kupewa nyaraka za kuwadhibitisha ambazo hutakiwa kuzionyesha mara zinapohitajika.

Mwaka 2017 hadi mwaka 2018 Serikali tume maalum ya kuchunguza jinsi ambavyo Tanzania inavyonufaika au la na Sekta ya madini ambapo ilibainika uwa sekta hiyo imegubikwa na udanganyifu.
View attachment 1807221
😂😂😂 Kile kiwanda cha ku smelt cha mwenda zake kimeishia wapi?
 
PM anaingizwa chaka baya bila kujua. Ameulizwa general question, na alipaswa kama mtendaji mkuu wa serikali, kupress for more specific details, na wala siyo kuhangaika haraka kuwasilisha maelezo mengi kwa lengo tu la kuwapooza Watanzania.

Hoja ya msingi: ^Kontena zileeeeeee zinaenda tena^

PM angeomba ushahidi specific na kuahidi kufuatilia. Suala la madini ni nyeti sana na limetugharimu mengi huko nyuma na hata wakati wa kurekebisha sheria za madini. Pia linamendewa usiku kucha na wapigaji wa ndani na nje ya nchi. So, halipaswi kujibiwa na kupita kijuujuu tu hivi.

PM zile nguvu zako za weledi na uzalendo halisi ziko wapi!??? Ama ziliishia ileeee tarehe 17 Machi 2021!??? Nawe umekuwa kama Bi Mkubwa na Dkt Plan wake ambao wamewekeza vipaumbele vyao kwenye empty hotuba tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!???
Kwani hizo Kontena zimeanza kwenda nje lini? Baada ya 17/03/2021 au kabla?
Wakati wa Mwendazakr zilikuwa haziendi?

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
PM anaingizwa chaka baya bila kujua. Ameulizwa general question, na alipaswa kama mtendaji mkuu wa serikali, kupress for more specific details, na wala siyo kuhangaika haraka kuwasilisha maelezo mengi kwa lengo tu la kuwapooza Watanzania.

Hoja ya msingi: ^Kontena zileeeeeee zinaenda tena^

PM angeomba ushahidi specific na kuahidi kufuatilia. Suala la madini ni nyeti sana na limetugharimu mengi huko nyuma na hata wakati wa kurekebisha sheria za madini. Pia linamendewa usiku kucha na wapigaji wa ndani na nje ya nchi. So, halipaswi kujibiwa na kupita kijuujuu tu hivi.

PM zile nguvu zako za weledi na uzalendo halisi ziko wapi!??? Ama ziliishia ileeee tarehe 17 Machi 2021!??? Nawe umekuwa kama Bi Mkubwa na Dkt Plan wake ambao wamewekeza vipaumbele vyao kwenye empty hotuba tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!???

Kelele nyingiii za mwendazake kumbe ilikuwa kazi bure. Mara oooh kila.kontena lina dhahabu tani moja mara oooh kuna silver, tungsten sijui na cobalt ......mara tuta smelt wenyewe hakuna tena kusafirisha makinikia kumbe zilikuwa chai tu
 
Smelter mliosema itajengwa nchini iko wapi ? Tilioni zetu 425 za Kodi TRA ziko wapi ? . Mngekuwa mnalipwa hizo hela si mngeshasema siku nyingi maana kwa kupenda sifa hii serikali haijambo .
 
Smelter mliosema itajengwa nchini iko wapi ? Tilioni zetu 425 za Kodi TRA ziko wapi ? . Mngekuwa mnalipwa hizo hela si mngeshasema siku nyingi maana kwa kupenda sifa hii serikali haijambo .
Inajengwa Kahama na mkataba ulishasainiwa January 2021
 
True.

Ila makinikia Siku zote yamekuwa yakisafirishwa. Hata wakati wa Mwendazake.... Isipokuwa kile kipindi kidogo cha mgogoro na Mabeberu.
Mmh. C&F gani inatumika? Maana FFT ndo hiyo ilikuwa cash cow yao. Lkn baada ya hiyo ishu kuwa nzito...niliona biashara zao slow. Na nasikia bado wapo Bulyanhulu...
 
TANGU ATOE MAJIBU KULE NJOMBE TENA MSIKITINI HUWA SIMUAMINI TENA.
KWANI HAJAWAHI KUKANUSHA ALICHOSEMA.

BEI GANI TUMESHAPATA KUPITIA HUO UDONGO UNAOBEBWA
 
Kwa lolote akiongea PM Mimi lazima nimwamini,I believe in him.
Go PM
 
PM anaingizwa chaka baya bila kujua. Ameulizwa general question, na alipaswa kama mtendaji mkuu wa serikali, kupress for more specific details, na wala siyo kuhangaika haraka kuwasilisha maelezo mengi kwa lengo tu la kuwapooza Watanzania.

Hoja ya msingi: ^Kontena zileeeeeee zinaenda tena^

PM angeomba ushahidi specific na kuahidi kufuatilia. Suala la madini ni nyeti sana na limetugharimu mengi huko nyuma na hata wakati wa kurekebisha sheria za madini. Pia linamendewa usiku kucha na wapigaji wa ndani na nje ya nchi. So, halipaswi kujibiwa na kupita kijuujuu tu hivi.

PM zile nguvu zako za weledi na uzalendo halisi ziko wapi!??? Ama ziliishia ileeee tarehe 17 Machi 2021!??? Nawe umekuwa kama Bi Mkubwa na Dkt Plan wake ambao wamewekeza vipaumbele vyao kwenye empty hotuba tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!???
Jamani nchi Sasa imefunguliwa,
 
Maswali muhimu ambayo majibu yake yataweka mambo sawa vichwani mwa wenye akili;

1. Usafirishaji wa makinikia uliruhusiwa lini tena baada ya kuzuiwa kwa madai ya udanganyifu?
2. Nini tofauti ya bei ya sasa na ile ya zamani?
 
Weka hapa hilo unalolijua maana kama ni kusafirishwa yameanzwa kusafirishwa toka wakati wa Magu, japo ilikuwa haitangazwi ili kuhadaa umma kuwa yamedhibitiwa, na vyombo vya habari viliogopa kutangaza, kwani dhalimu angeweza kuvifungia.
Hadi were ulikuwa umezuiliwa kuripot?

Kuhusu PM nabakiza maneno ili kulinda hadhi yake.
 
Hadi were ulikuwa umezuiliwa kuripot?

Kuhusu PM nabakiza maneno ili kulinda hadhi yake.

Tumesema sana hapa jukwaani wakati wa dhalimu kuwa makinikia yaliyokamatwa yalishaondoka, na yanaendelea kwenda nje. Na ushahidi wa tulivyosema umo humu humu jukwaani. Unabakiza maneno ili kulinda heshima ya PM, kuna jizi lolote la kura lenye heshima?
 
PM anaingizwa chaka baya bila kujua. Ameulizwa general question, na alipaswa kama mtendaji mkuu wa serikali, kupress for more specific details, na wala siyo kuhangaika haraka kuwasilisha maelezo mengi kwa lengo tu la kuwapooza Watanzania.

Hoja ya msingi: ^Kontena zileeeeeee zinaenda tena^

PM angeomba ushahidi specific na kuahidi kufuatilia. Suala la madini ni nyeti sana na limetugharimu mengi huko nyuma na hata wakati wa kurekebisha sheria za madini. Pia linamendewa usiku kucha na wapigaji wa ndani na nje ya nchi. So, halipaswi kujibiwa na kupita kijuujuu tu hivi.

PM zile nguvu zako za weledi na uzalendo halisi ziko wapi!??? Ama ziliishia ileeee tarehe 17 Machi 2021!??? Nawe umekuwa kama Bi Mkubwa na Dkt Plan wake ambao wamewekeza vipaumbele vyao kwenye empty hotuba tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!???
Ulitaka akujibu nini kwakirefu wakati ushaambiwa maswali ni ya hapo kwa papo.Ukitaka majibu ya kina nenda ofisi ya waziri mkuu na ofisi inayoshughulika na hayo madini utapata majibu ya kina.
 
Hivi si walisema watajenga kinu cha kuchenjua hayo mamichanga?

Bongo kweli nyoso
 
Tumesema sana hapa jukwaani wakati wa dhalimu kuwa makinikia yaliyokamatwa yalishaondoka, na yanaendelea kwenda nje. Na ushahidi wa tulivyosema umo humu humu jukwaani. Unabakiza maneno ili kulinda heshima ya PM, kuna jizi lolote la kura lenye heshima?
Acha kupotosha watu wewe Mbweha uliekengeuka na kukosa busara. Twiga minerals ilipoundwa ndio habari ya kusafirisha makinikia ikaanza kupata baraka.
 
PM anaingizwa chaka baya bila kujua. Ameulizwa general question, na alipaswa kama mtendaji mkuu wa serikali, kupress for more specific details, na wala siyo kuhangaika haraka kuwasilisha maelezo mengi kwa lengo tu la kuwapooza Watanzania.

Hoja ya msingi: ^Kontena zileeeeeee zinaenda tena^

PM angeomba ushahidi specific na kuahidi kufuatilia. Suala la madini ni nyeti sana na limetugharimu mengi huko nyuma na hata wakati wa kurekebisha sheria za madini. Pia linamendewa usiku kucha na wapigaji wa ndani na nje ya nchi. So, halipaswi kujibiwa na kupita kijuujuu tu hivi.

PM zile nguvu zako za weledi na uzalendo halisi ziko wapi!??? Ama ziliishia ileeee tarehe 17 Machi 2021!??? Nawe umekuwa kama Bi Mkubwa na Dkt Plan wake ambao wamewekeza vipaumbele vyao kwenye empty hotuba tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!???
Utaratibu wa kusafirisha makinikia haujawa kubadilika tangu ensi za Mkapa. Mwendazake alikuja na mbwembwe nyingi za kutafuta simple popularity kutoka kwa wajinga.

Mineral concentrates zinafirishwa toka Duniani kote, yeye akaja kuwadanganya Watanzania wajinga kuwa tunaibiwa, na kuwa makonteina yale 90% ni dhahabu tupu. Wajinga wakamshangilia kutokana ja ujinga bila ya kujiuliza, utabebaji container 20ft container load lenye 90% gold, ni lorry gani litakuwa na uwezo (gold has SG 19.30) - wakabaki wanakenua meno kuwa eti wamepata mkombozi ilihali ile report nzima ya Mruma na Uroso zilikuwa good for the fools.
 
Back
Top Bottom