Pfizer
JF-Expert Member
- Mar 25, 2021
- 590
- 807
DKT SAMIA MITANO TENA NA MIMI BADO NAUHITAJI UBUNGE
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ametangaza rasmi kuendelea kuitaka nafasi ya Jimbo la Ruangwa, anakowakilisha hadi sasa aidha na kusema Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kupewa mitano tena mpaka 2030.
Mhe. Majaliwa ametangaza azma hiyo leo katika viwanja vya Madini, Ruangwa.
Soma Pia: Kassim Majaliwa: Rais Samia ni kinara wa kutekeleza Ilani ya CCM
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ametangaza rasmi kuendelea kuitaka nafasi ya Jimbo la Ruangwa, anakowakilisha hadi sasa aidha na kusema Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kupewa mitano tena mpaka 2030.
Mhe. Majaliwa ametangaza azma hiyo leo katika viwanja vya Madini, Ruangwa.
Soma Pia: Kassim Majaliwa: Rais Samia ni kinara wa kutekeleza Ilani ya CCM