Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Likely amehakikishiwa au yanaweza kuwa ya edoNaunga mkono mi 5 tena ya Rais Samia ila Kwa PM Mstaafu kuwa Mbunge then atakuwa anachangia mijadala Bungeni au itakuaje? Au amehakilishiwa kuendelea kuwa PM?
Kuna muongozo wwte unaosema waziri mkuu akitumikia kwa mda wa miaka 10 inabidi asiteuliwe tena??...najua rais ndo ana term limit ila hyu sijui...msaada tafadhaliNaunga mkono mi 5 tena ya Rais Samia ila Kwa PM Mstaafu kuwa Mbunge then atakuwa anachangia mijadala Bungeni au itakuaje? Au amehakilishiwa kuendelea kuwa PM?
Naunga mkono mi 5 tena ya Rais Samia ila Kwa PM Mstaafu kuwa Mbunge then atakuwa anachangia mijadala Bungeni au itakuaje? Au amehakilishiwa kuendelea kuwa PM?
Naunga mkono mi 5 tena ya Rais Samia ila Kwa PM Mstaafu kuwa Mbunge then atakuwa anachangia mijadala Bungeni au itakuaje? Au amehakilishiwa kuendelea kuwa PM?
Aibu Sana Ukiwaona Kwenye Jukwaa HawafaiAliteka wa chadema akapita bila kupingwa! Hovyo!
Hivi akishinda alafu Samia naye akashinda alafu asiteuliwe uwaziri mkuu itakuwaje?Waziri Mkuu akajiajiri alichokipata kinamtosha aache upumbavu
Hilo jimbo liko wazi japo ni mbungeDKT SAMIA MITANO TENA NA MIMI BADO NAUHITAJI UBUNGE
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ametangaza rasmi kuendelea kuitaka nafasi ya Jimbo la Ruangwa, anakowakilisha hadi sasa aidha na kusema Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kupewa mitano tena mpaka 2030.
Mhe. Majaliwa ametangaza azma hiyo leo katika viwanja vya Madini, Ruangwa.
Soma Pia: Kassim Majaliwa: Rais Samia ni kinara wa kutekeleza Ilani ya CCM
Madaraka ni matamu sana, hawataki kuachia kabisa na kuachia vijana.DKT SAMIA MITANO TENA NA MIMI BADO NAUHITAJI UBUNGE
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ametangaza rasmi kuendelea kuitaka nafasi ya Jimbo la Ruangwa, anakowakilisha hadi sasa aidha na kusema Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kupewa mitano tena mpaka 2030.
Mhe. Majaliwa ametangaza azma hiyo leo katika viwanja vya Madini, Ruangwa.
Soma Pia: Kassim Majaliwa: Rais Samia ni kinara wa kutekeleza Ilani ya CCM
DKT SAMIA MITANO TENA NA MIMI BADO NAUHITAJI UBUNGE
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ametangaza rasmi kuendelea kuitaka nafasi ya Jimbo la Ruangwa, anakowakilisha hadi sasa aidha na kusema Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kupewa mitano tena mpaka 2030.
Mhe. Majaliwa ametangaza azma hiyo leo katika viwanja vya Madini, Ruangwa.
Soma Pia: Kassim Majaliwa: Rais Samia ni kinara wa kutekeleza Ilani ya CCM
Siyo wwananchi wanaoutaka ubunge wake yeye ndiye anautaka!DKT SAMIA MITANO TENA NA MIMI BADO NAUHITAJI UBUNGE
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ametangaza rasmi kuendelea kuitaka nafasi ya Jimbo la Ruangwa, anakowakilisha hadi sasa aidha na kusema Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kupewa mitano tena mpaka 2030.
Mhe. Majaliwa ametangaza azma hiyo leo katika viwanja vya Madini, Ruangwa.
Soma Pia: Kassim Majaliwa: Rais Samia ni kinara wa kutekeleza Ilani ya CCM
Miaka 10 inamtosha,hiyo ni nafasi ya Biteko unless Ile ya kusema wageni wanapewa vyeo imtafune.Mama mwaka 2025 anapita bila ubishi, huyo waziri mkuu apewe awamu moja tu ya mwisho au apishe wengne
pia nafasi za ubunge ziwe na kikomo kama ni miaka 2, basi waziri mkuu anatumikia miaka 2 anapita hv
PoleTarehe 23 tunaelekea Ikulu kumfukuza Samia na genge lake, huyu mama ni katili na hafai kabisa,