Na mimi najiulizaSasa itakuwaje
Nshomile takataka unapostWaziri Mkuu na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa, Kassim Majaliwa akiwa Ruangwa ametangaza nia ya kuutaka ubunge ili aendelee kuwatumikia wananchi wa jimbo hilo. Ikumbukwe Kassim Majaliwa amekuwa Waziri Mkuu Takribani miaka Tisa na Mungu akijalia atatimiza miaka kumi 2025.
View attachment 3095098
Swali mnalojiuliza na mimi ndilo hilo hilo najiuliza.
Ebu tufafanulie ambacho unakifahamu zaidi.Kwa hiyo Samia hawez Kushinda urais?Hawa wanamzuga tu huyu mama.
Naunga mkono mi 5 tena ya Rais Samia ila Kwa PM Mstaafu kuwa Mbunge then atakuwa anachangia mijadala Bungeni au itakuaje? Au amehakilishiwa kuendelea kuwa PM?DKT SAMIA MITANO TENA NA MIMI BADO NAUHITAJI UBUNGE
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ametangaza rasmi kuendelea kuitaka nafasi ya Jimbo la Ruangwa, anakowakilisha hadi sasa aidha na kusema Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kupewa mitano tena mpaka 2030.
Mhe. Majaliwa ametangaza azma hiyo leo katika viwanja vya Madini, Ruangwa.
View attachment 3095074
Kwa kuwa wewe ndio mgombea wa CCM au ?Hawa wanamzuga tu huyu mama.
Tunajua Mzee hana furaha ila afanye nini kibibi kinatisha kimekuwa kiuaji chenye tai/kiremba chekundu.DKT SAMIA MITANO TENA NA MIMI BADO NAUHITAJI UBUNGE
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ametangaza rasmi kuendelea kuitaka nafasi ya Jimbo la Ruangwa, anakowakilisha hadi sasa aidha na kusema Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kupewa mitano tena mpaka 2030.
Mhe. Majaliwa ametangaza azma hiyo leo katika viwanja vya Madini, Ruangwa.
View attachment 3095074
Kuna kitu kitakuja kuitetemesha dunia ila sio hiki ulichosemaMitano tena ya kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima kwa Mheshimiwa Dkt Samia Suluhu Hasssan.Mitano mingine tena kwa Mheshimiwa Kasimu Majaliwa. Sitegemei mtu kwenda kuchukua Fomu ya ubunge kwenye jimbo la Mheshimiwa Majaliwa. Ni Fomu Moja tu kwa Dkt Samia Suluhu Hasssan kwenye Urais na Fomu moja tu kwa Mh Majaliwa kwenye Ubunge.