Kassim Majaliwa: Wanasiasa waeleze yale watakayoyafanya kwenye kampeni na sio kubeza yaliyofanywa na wengine

Niupumbavu sana watawala kutaka wote tuipe pambio zao
 
mmechota hela za umma mmenda kununua korosho,،halafu mkala hasara ,hizo bilioni 600,zingetosha kupeleka MADAWA nchi nzima,mmezitupa kwenye korosho nyinyiiiiiiiii
 
Wacha wabeze mkuu...kiongozi gani wa siasa hapendi criticism?
 
Mheshimiwa tunaelekea kubaya,nasema kubaya iwapo mwanasiasa mpinzani anachaguliwa jambo la kusema na mtawala,kusema azungumzie atakayofanya bila kubeza yaliyofanyika imekaakaaje hii?nitasemaje nitaboresha shirika bila kueleza kasoro kwa aliyetangulia kujenga shirika?nitajengaje SGR vizuri bila kuonyesha kasoro kwa huyu aliyejenga hii SGR?au si ndio kubeza huko?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…