Fortilo
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 5,807
- 17,416
Aisee...
Umasikini wetu, hautokaa ututoke..
1. Madini anaachiwa mzungu
2. Gas kapewa mzungu na mchina
3. Viwanda ni magodown na stand za mabus.
4. Reli anatafutiwa mwarabu.
5.Usafirishaji wanabaki DART, UBER nk.
Wakati viongoz wanaendelea kulima kwenye kodi zenu, sisi tukalime vumbi na kuchunga mbugani.
Mkuu, Kuna maeneo mahsusi ya Kilimo na Ufugaji yametengwa kwa kazi hiyo?
Kilimo cha mvua na ufugaji wa migogoro...
Au yale yale ya Bashe ya kilimo cha Hector 1 kwa dolla elf 8?
mtalia hadi mkome, nothing will happen.
Umasikini wetu, hautokaa ututoke..
1. Madini anaachiwa mzungu
2. Gas kapewa mzungu na mchina
3. Viwanda ni magodown na stand za mabus.
4. Reli anatafutiwa mwarabu.
5.Usafirishaji wanabaki DART, UBER nk.
Wakati viongoz wanaendelea kulima kwenye kodi zenu, sisi tukalime vumbi na kuchunga mbugani.
Mkuu, Kuna maeneo mahsusi ya Kilimo na Ufugaji yametengwa kwa kazi hiyo?
Kilimo cha mvua na ufugaji wa migogoro...
Au yale yale ya Bashe ya kilimo cha Hector 1 kwa dolla elf 8?
mtalia hadi mkome, nothing will happen.