britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amemhakikishia Pierre Gumbo(Liquid) kuwa kuna tiketi yake kwa ajili ya kuambatana na Taifa Stars kuelekea Misri.
Waziri Mkuu ameyasema hayo alipozungumza na Pierre Liquid katika viwanja vya Bunge.
Waziri Mkuu ameyasema hayo alipozungumza na Pierre Liquid katika viwanja vya Bunge.