kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,097
- 7,199
Dubai iliishia wapii
Mwaka 2015 aliwaambia wanakigoma kuwa kigoma itakua kama Dubai leo anawaambia itakua kama ulaya. Ulaghai mtupuFalme za Kiarabu
😀😀😀Kigoma Ilianza Tangu JK Kuwa Dubai
Uchaguzi mkuu uliopita aliwaahidi Kigoma itakuwa kama Dubai!.Watu wanazidi kudanganywa... Kigoma iwe Kama ulaya.. huu Ni uongo uliotukuka.
Kigoma kuifikia dar itachukua miaka zaidi ya 20.
Hili nalo neno tatizo watu hawapendi kureason vitu vidog kama hiviAmeshindwa kufanya Chato kuwa kama Arusha atawezaje kufanya Kigoma kuwa kama Ulaya?
Amesema hiyo itafanya biashara kukua kiasi cha wanawake kuweza kupata wanaume hata wa Afrika Kusini ambao watawagea dola. Na wanaume watapata wachumba wazungu
Hilo neno "kudhalilisha" unalitumia vibaya..jana kuna mchangiaji hapa JF nilimwambia Magu hawezi kufanya mikutano miwili bila kuwazungumzia vibaya na kuwadhalilisha wanawake.
Mnataka kupanuliwaaaaa?Niwapanueeeee?Haya panueniiiiiiiiiiiiiiiiii.Hilo neno "kudhalilisha" unalitumia vibaya
Kajaribu kuangalia maanake na mahali linapotumika
Hata hii mitano akipita taamin watz Ni maitimiaka 10 haikutoshi mzee, inabidi tukuongezee
Hivi ile bandari ya kibirizi ilishakuwa kama Dubai toka enzi wameahidi hivyo? Daaah maccm wasahaulifu aisee!!!Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Dkt. John Pombe Magufuli amesema maendeleo hayana chama lakini unachagua chama na kiongozi atakayekuletea maendeleo ya kweli
Ameyasema hayo alipokuwa Kasulu, katika harakati zake za kuomba kura kwa wananchi kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020. Amesema atawejengea lami itakayotoka Kigoma mpaka Nyakanazi, kwa kile alichosema wapinzani ‘waisome namba’
Amesema lazima Kigoma ibadilike iwe kama Ulaya katika mipango wameweka Tsh bilioni 402 ili kuiendeleza Kigoma ili wageni kutoka nchi mbalimbali wapite Kasulu kisha wawe na uamuzi wa kutumia njia hizo
Amesema hiyo itafanya biashara kukua kiasi cha wanawake kuweza kupata wanaume hata wa Afrika Kusini ambao watawagea dola. Na wanaume watapata wachumba wazungu
Rejea: By 2015 Kigoma kuwa kama Dubai, Mwanza kuwa kama California
Alipata kusema msemakweli mmoja "...watanzania wakiichagua CCM wakapimwe akili!!"Hata hii mitano akipita taamin watz Ni maiti