Uchaguzi 2020 Kasulu: Dkt. Magufuli aahidi Kigoma kuwa kama Ulaya

Uchaguzi 2020 Kasulu: Dkt. Magufuli aahidi Kigoma kuwa kama Ulaya

Arekebishe kauli ili benchmark ya nchi iwe Chato.......aifanye Kigoma iwe kama Chato.
 
..jana kuna mchangiaji hapa JF nilimwambia Magu hawezi kufanya mikutano miwili bila kuwazungumzia vibaya na kuwadhalilisha wanawake.
Aaaah Mkuu rejea "fyatueni watoto..." sasa ili watoto wafyatuliwe kuna suala la damu mseto hapo ndilo mkuu anahimiza ili waha wazae na wageni 😀 😀
Tuvumiliane tu...
 
Jamaa anaahadi za kijinga sana........

Yaani anaona watz ni mandondocha kiasi hicho??
 
Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Dkt. John Pombe Magufuli amesema maendeleo hayana chama lakini unachagua chama na kiongozi atakayekuletea maendeleo ya kweli


Ameyasema hayo alipokuwa Kasulu, katika harakati zake za kuomba kura kwa wananchi kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020. Amesema atawejengea lami itakayotoka Kigoma mpaka Nyakanazi, kwa kile alichosema wapinzani ‘waisome namba’


Amesema lazima Kigoma ibadilike iwe kama Ulaya katika mipango wameweka Tsh bilioni 402 ili kuiendeleza Kigoma ili wageni kutoka nchi mbalimbali wapite Kasulu kisha wawe na uamuzi wa kutumia njia hizo


Amesema hiyo itafanya biashara kukua kiasi cha wanawake kuweza kupata wanaume hata wa Afrika Kusini ambao watawagea dola. Na wanaume watapata wachumba wazungu




Rejea: By 2015 Kigoma kuwa kama Dubai, Mwanza kuwa kama California
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2539]

Sent from my BLL-L22 using JamiiForums mobile app
 
Hahaha, CCM waliahidi kuzifanya Ukonga na Kinondoni ziwe kama ulaya, sijui walishindwa nini au ndio waliishagundua mipiga kura ni mijinga.
 
Hata hii mitano akipita taamin watz Ni maiti

Miaka mitano wakati ashakwambia ana uhakika wa kushinda, mwenzako ashaanza kutoa hela za ujenzi za December we unaongea miaka mitano gani
 
Hawa wanasiasa sijui huwa wanatuchukuliaje yaani ....!!!;;;
 
Tangu uhuru mlikuwa wapi? Piga chini CCM safari hii cha moto watakiona kwenye sanduku la kura.
 
Huyu jamaa...Ulaya kuna unemployment benefits..anaweza kuwalipa vijana wasio na ajira au Ulaya majengo...PHD kuwa realistic
 
Back
Top Bottom