Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaaah Mkuu rejea "fyatueni watoto..." sasa ili watoto wafyatuliwe kuna suala la damu mseto hapo ndilo mkuu anahimiza ili waha wazae na wageni 😀 😀..jana kuna mchangiaji hapa JF nilimwambia Magu hawezi kufanya mikutano miwili bila kuwazungumzia vibaya na kuwadhalilisha wanawake.
Watu wanazidi kudanganywa... Kigoma iwe Kama ulaya.. huu Ni uongo uliotukuka.
Kigoma kuifikia Dar itachukua miaka zaidi ya 20.
Akifanya Chato mnasema anapendelea na fisadi? So what?Ameshindwa kufanya Chato kuwa kama Arusha atawezaje kufanya Kigoma kuwa kama Ulaya?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2539]Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Dkt. John Pombe Magufuli amesema maendeleo hayana chama lakini unachagua chama na kiongozi atakayekuletea maendeleo ya kweli
Ameyasema hayo alipokuwa Kasulu, katika harakati zake za kuomba kura kwa wananchi kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020. Amesema atawejengea lami itakayotoka Kigoma mpaka Nyakanazi, kwa kile alichosema wapinzani ‘waisome namba’
Amesema lazima Kigoma ibadilike iwe kama Ulaya katika mipango wameweka Tsh bilioni 402 ili kuiendeleza Kigoma ili wageni kutoka nchi mbalimbali wapite Kasulu kisha wawe na uamuzi wa kutumia njia hizo
Amesema hiyo itafanya biashara kukua kiasi cha wanawake kuweza kupata wanaume hata wa Afrika Kusini ambao watawagea dola. Na wanaume watapata wachumba wazungu
Rejea: By 2015 Kigoma kuwa kama Dubai, Mwanza kuwa kama California
Hata hii mitano akipita taamin watz Ni maiti
Ila kweli hapa tunahitaji ufafanuziShida ni Kigoma kuwa ulaya au wanakigoma ndio waishi kama waishivyo ulaya?
ahahahaaaaaHahaha ccm waliahidi kuzifanya ukonga na kinondoni ziwe kama ulaya, sijui walishindwa nini au ndio waliishagundua mipiga kura ni mijinga.
Sisi ndo wajumbe wenyewemiaka mitano wakati ashakwambia ana uhakika wa kushinda, mwenzako ashaanza kutoa ela za ujenzi za december we unaongea miaka mitano gani
Atapenyea wapi hivi kundi gani litampa ili awaumize tena.Safari hii mbebaji hayupowajumbe angalieni msipate presha
Atapenyea wapi hivi kundi gani litampa ili awaumize tena.Safari hii mbebaji hayupo
Tena wakati huo Dar iwe imesimama inaisubiri Kigoma.[emoji16]Watu wanazidi kudanganywa... Kigoma iwe Kama ulaya.. huu Ni uongo uliotukuka.
Kigoma kuifikia Dar itachukua miaka zaidi ya 20.