National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Aibu, na ili uwe salama na mpenzi wako atibiwe, ukitibiwa peke yako ukapona ugonjwa unabaki kwa mwenzako ukila tena unapata š¤ š¤ š¤
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aibu, na ili uwe salama na mpenzi wako atibiwe, ukitibiwa peke yako ukapona ugonjwa unabaki kwa mwenzako ukila tena unapata š¤ š¤ š¤
Ngumu sana kwa mwanamke kujua ana kisonono au kaswendeDuh! Ngoja niendelee kumkumbatia my wangu
Umakini unahitajikaAibu, na ili uwe salama na mpenzi wako atibiwe, ukitibiwa peke yako ukapona ugonjwa unabaki kwa mwenzako ukila tena unapata [emoji1783][emoji1783][emoji1783]
HongeraUkipata manzi anakupenda kwel anakwambia ukwel me nilipata bahati hyo kidemu kikanambia kwel kimenasa Kaswende kiliniomba sana usiniache nakukubali sana sitaki nikufiche mambo yaliyonikuta nikakisaidia japo ilikuwa kwenye hatua mbaya nkaishi nacho hvyohvyo kibishi.
Siku 1 tu kitu inaonesha dalili
Mimi zimenifanya nishindwe kabisa kuuona utamu wa mbususu kwasababu ya uoga wangu maana nikitumia ndomu naona kama hakuna ninachokifanya ni heri kuacha tu na kubaki njia kuu nibaki kwenye mbususu ambayo nimeshaichoka
Mh! Bora tu niwe mwoga na mbususu ila niwe salama.Sio kama mafua,yaan hata wao wanaamin ni magonjwa hatar,ila wanaamin kama hujawah kuyaugua ina maana wewe ni mwoga sana na mbususu hujazila vya kutosha
š¤£š¤£š¤£š¤£ mkojo kama mlenda unanatanata kwa kudunda dundašš»šš»šš»šš»Mzuka Wanajamvi!
Nadhani Ngoma cha mtoto. Yani hii makitu ni hatariiii. Nimeshuhudia kwa mtu Yani akikojoa mkojo Kaa mlenda halafu haufiki chini unanata nata kwa kudunda hewani kwenda chini na juu.
Tujiepusheni na ngono zembe!
Ndo zile zileMh! Bora tu niwe mwoga na mbususu ila niwe salama.
Ukifika hii stage bora uombe upigwe ile sindano ya kurelaxisha misuli ufe kimya kimya bila matesoNilimuona nilishindwa kula nzi wanamfuata kateseka miezi sita na kitu mpaka amefariki..
Ukipata manzi anakupenda kwel anakwambia ukwel me nilipata bahati hyo kidemu kikanambia kwel kimenasa Kaswende kiliniomba sana usiniache nakukubali sana sitaki nikufiche mambo yaliyonikuta nikakisaidia japo ilikuwa kwenye hatua mbaya nkaishi nacho hvyohvyo kibishi.
Kwa males ni siku tatu tu...ila ndan ya masaa 24 baada ya kugegeda utaanza kuhisi mtekenyo kwenye njia ya mkojo baada ya hapo kinachfuata hapo ni maumiv
Ngoja ni tulie tuKwa males ni siku tatu tu...ila ndan ya masaa 24 baada ya kugegeda utaanza kuhisi mtekenyo kwenye njia ya mkojo baada ya hapo kinachfuata hapo ni maumiv
Nipo na Doctor hapa nikawa nasoma naye uzi, anasema hayo magonjwa yanasababishwa na kufanya ngono na wanyama.