Alexprosper
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 3,286
- 6,110
Wale wanapenda punda[emoji23]Kiaje acha kutusingizia
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale wanapenda punda[emoji23]Kiaje acha kutusingizia
KweliGono sio ugonjwa mzuri nimewahi pata zaidi ya mara moja na sasa nipo aware sana..Dawa yake ni sindano pamoja na vidonge.Dosage yake ipo hivi
Powercef(Ceftriaxone)au Cefotoxine injection+,Flagil(metronidazole)+Doxy
Matumizi yake...Anza kuchoma sindano wakati unatumia Metro then baada ya sindano kumaliza tumia doxy
NB: #Zipo aina nyingi za kupanga hiyo dose kadir daktar atakavoshauri.
#Usiache kumaliza dose mfano Doxy hata kama utaona umepona maana Gonorhea inaambatana na Chlamydia ambapo hawa bacteria huwa hawafi kwa hiyo sindano ila Doxy
#Usiache kutmia flagyl kwakuwa Gono linawezaingia na ndugu yake anaeitwa Trichomonas vaginalis.
#Tumia dose na mwenza wako hata kama uliupata sehemu nyingine na ulishare nae before dalili hazijaanza maana utakuwa umemwachia so kutibiwa kwa siri haitasaidia maana utalichukua tena kwa mkeo.
🙂🙂🙂 Dada vipi tena..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Self medication sio nzuri..mtaleta shida za antimicrobial resistance.Tajeni dawa basi ambazo mtu akishapata hiyo makitu atumie kwa faida ya wote.
Utelezi mtamu sana hasa nyama kwa nyama na umwagie ndani..raha kisee.. ila shida ni pale dushe lianze kuwasha ukikojoa mkojo unauma..huku dushe likitema uji..[emoji28][emoji28][emoji28]Kojolea Ndani Bila Mfuko Raha Sana
Changamoto Ndiyo Hiyo Sasa, Fika Kwenye Huduma
Ndio mana mimi bila ndomu sipigi demu..mana inawezskana ukacheki ukimwi yuko poa..ila hbv anazo na hepatitis anayo..balaa hepatitis mana hilo ni kujiandaa kufa tu.Usisahau kuwa kuna homa ya ini haionekani kwa macho pia Ata kwa mwanaume
Nakuchek tu.. halafu nasema hiiii...[emoji846][emoji846][emoji846] Dada vipi tena..
Magonjwa mengi, watoto wadogo wapo on fire pro max..
Watu wazima ndio habari ya mjini, 🤠🤠🤠🤠.. Vinchenchede tupa kuleeeNakuchek tu.. halafu nasema hiiii...
Kwa hiyo sisi watu wazima unatuzungumzia aje?[emoji3]
Ndo ikojeNdio mana mimi bila ndomu sipigi demu..mana inawezskana ukacheki ukimwi yuko poa..ila hbv anazo na hepatitis anayo..balaa hepatitis mana hilo ni kujiandaa kufa tu.
Wajuba chomeni chanjo ya hepatitis b mtakuja kunishukuru badae.
#MaendeleoHayanaChama
Uweeeeeh!!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]Watu wazima ndio habari ya mjini, [emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783].. Vinchenchede tupa kuleee
🙂🙂🙂 Watoto pasua kichwa, bora ujichukulie zako 37+ mnaishi vizuri, hapo uta enjoy kupendwaaUweeeeeh!!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndo siri hiyo[emoji846][emoji846][emoji846] Watoto pasua kichwa, bora ujichukulie zako 37+ mnaishi vizuri, hapo uta enjoy kupendwaa
Kwenye pochi yakeBora wajue watu, akijua mpenzi wako utaficha wapi sura yako
Ila wadada wengi wanaumwa chlamydia wanasema UTI sugu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] UTI haiambukizwi kwa njia ya sex jamani. Ecoli bacteria can not live in vigina ni urinary track.Gono sio ugonjwa mzuri nimewahi pata zaidi ya mara moja na sasa nipo aware sana..Dawa yake ni sindano pamoja na vidonge.Dosage yake ipo hivi
Powercef(Ceftriaxone)au Cefotoxine injection+,Flagil(metronidazole)+Doxy
Matumizi yake...Anza kuchoma sindano wakati unatumia Metro then baada ya sindano kumaliza tumia doxy
NB: #Zipo aina nyingi za kupanga hiyo dose kadir daktar atakavoshauri.
#Usiache kumaliza dose mfano Doxy hata kama utaona umepona maana Gonorhea inaambatana na Chlamydia ambapo hawa bacteria huwa hawafi kwa hiyo sindano ila Doxy
#Usiache kutmia flagyl kwakuwa Gono linawezaingia na ndugu yake anaeitwa Trichomonas vaginalis.
#Tumia dose na mwenza wako hata kama uliupata sehemu nyingine na ulishare nae before dalili hazijaanza maana utakuwa umemwachia so kutibiwa kwa siri haitasaidia maana utalichukua tena kwa mkeo.
Homa ya ini.
Ina affect sehemu za siriHoma ya ini.
#MaendeleoHayanaChama
Sio siri ni choice, maana vipo vitoto vitulivu kuliko ma mama
Nawaangalia Halafu Nasema Hii......Bhaghosha SanaNakuchek tu.. halafu nasema hiiii...
Kwa hiyo sisi watu wazima unatuzungumzia aje?[emoji3]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji846][emoji846][emoji846] Watoto pasua kichwa, bora ujichukulie zako 37+ mnaishi vizuri, hapo uta enjoy kupendwaa
Bhaghosha na Ban'kema[emoji1787]Nawaangalia Halafu Nasema Hii......Bhaghosha Sana