Kaswende na Gono noma

Kweli

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Usisahau kuwa kuna homa ya ini haionekani kwa macho pia Ata kwa mwanaume
Ndio mana mimi bila ndomu sipigi demu..mana inawezskana ukacheki ukimwi yuko poa..ila hbv anazo na hepatitis anayo..balaa hepatitis mana hilo ni kujiandaa kufa tu.

Wajuba chomeni chanjo ya hepatitis b mtakuja kunishukuru badae.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ila wadada wengi wanaumwa chlamydia wanasema UTI sugu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] UTI haiambukizwi kwa njia ya sex jamani. Ecoli bacteria can not live in vigina ni urinary track.

Madr wote wanaojielewa wanajua hii kuwa mtu anaumwa ugonjwa wa zinaa wanamwambia UTI sugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…