Kaswende na Gono noma

Kaswende na Gono noma

Mbona hamtuambii dalili za gono kwa wanawake ili tuwe aware nao..
Bro Gono kwa mwanamke ni ngumu kweli kuonekana. Ni hadi muende kwenye vituo vya afya mfanyw kucheki afya kwa ujumla. Unaweza ipata ukampa mkeo ikakusumbua wewe, yeye isioneshe hata dalili na ukirudia game kwake unaipata tena huku yeye akiwa fresh. Dawa ni kuacha haya mambo, kaa na mtu mmoja chekini afya zenu na kuwa waaminifu
 
Mwaka 2006 kuna mwanangu mmoja alipata Syphilis ikapelekea hadi kupata vipele fulani vyenye usaha kichwani. Kuna rafiki yetu ni daktari alikuwa anaenda kumchoma sindano home kwake, jamaa alikuwa analia kama mtoto na kugalagala chini akisema zinauma sana. Bahati mbaya sasa, binti aliyempa ule ugonjwa alikuwa anatokea ushuani yani, pisi kali kwelikweli.

Kuna mwanangu mwingine alipata gono, bahati mbaya sana mke wake akafahamu akaja kulalamika kwetu akitishia talaka. Jamaa anaumwa, mke kakazana amtaje huyo mwanamke aliyelala naye. Akatishia kuyapeleka kwa wazazi. Binti aliyempa ule ugonjwa ni mzuri na huwezi hata kumdhania aisee. Ilikuwa ni balaa juu ya balaa...

Baada ya haya matukio kutokea, niliamini kwamba Looks can be deceptive....
Ukihangaika sana na hawa mabinti unaweza hata ukapata matatizo na mikosi tu....
 
Mzuka Wanajamvi!

Nadhani Ngoma cha mtoto. Yani hii makitu ni hatariiii. Nimeshuhudia kwa mtu Yani akikojoa mkojo Kaa mlenda halafu haufiki chini unanata nata kwa kudunda hewani kwenda chini na juu.

Tujiepusheni na ngono zembe!
Sindano ya kaswende inavyouma lazima utalia au kishindwa kutemnea ni🔥🔥
Ukimaliza dozi adabu utaishika ti
 
Mwaka 2006 kuna mwanangu alipata Syphilis ikapelekea hadi kupata vipele fulani vyenye usaha kichwani. Kuna rafiki yetu ni daktari alikuwa anaenda kumchoma sindano home kwake, jamaa alikuwa analia kama mtoto na kugalagala chini akisema zinauma sana. Bahati mbaya sasa, binti aliyempa ule ugonjwa alikuwa anatokea ushuani yani, pisi kali kwelikweli.

Kuna mwanangu mwingine alipata gono, bahati mbaya sana mke wake akafahamu akaja kulalamika kwetu akitishia talaka. Jamaa anaumwa, mke kakazana amtaje huyo mwanamke aliyelala naye. Akatishia kuyapeleka kwa wazazi. Binti aliyempa ule ugonjwa ni mzuri na huwezi hata kumdhania aisee. Ilikuwa ni balaa juu ya balaa...

Baada ya haya matukio kutokea, niliamini kwamba Looks can be deceptive....
Ukihangaika sana na hawa mabinti unaweza hata ukapata matatizo na mikosi tu....
Sawasawa, Pisi kali nyingi ni tatizo.
 
Back
Top Bottom