Uchaguzi 2020 Kata kwa Kata: Mwezi mmoja kabla ya Uchaguzi Mbeya mjini, shughuli imekwisha

Uchaguzi 2020 Kata kwa Kata: Mwezi mmoja kabla ya Uchaguzi Mbeya mjini, shughuli imekwisha

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
KATA kwa KATA_ NIKIZUNGUMZA na wapiga KURA halisi wa KATA ya ILEMI leo...YAANI h ( 360 X 640 ).jpg

Huu ni mkutano uliopigwa leo na Mbunge wa milele wa jimbo hilo Joseph Mbilinyi kata ya Ilemi ambaye pia wenyeji wa hapo humuita Rais wa Mbeya .

Mtu huyu ambaye pia ni mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA hana mambo mengi kwenye mikutano yake, hushirikiana na watu wa Mbeya tu akiwemo Mtu mzito John Mwambigija .
 

Huu ni mkutano uliopigwa leo na Mbunge wa milele wa jimbo hilo Joseph Mbilinyi kata ya Ilemi ambaye pia wenyeji wa hapo humuita Rais wa Mbeya .

Mtu huyu ambaye pia ni mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA hana mambo mengi kwenye mikutano yake, hushirikiana na watu wa Mbeya tu akiwemo Mtu mzito John Mwambigija .
Kibibi Betina mti mkavu kina roho mbaya kinakula njama na mkurugenziccm wa CCM wamtangaze yeye kienyeji pasipo kujali kuwa Sugu ndiyo kashinda kwa kura nyingi
 
nikuteue, nikulipe mshahara halafu ukamtangaze mpinzani. Hiiiiiii sauti ilisikika toka jukwaani
 
Kibibi Betina mti mkavu kina roho mbaya kinakula njama na mkurugenziccm wa CCM wamtangaze yeye kienyeji pasipo kujali kuwa Sugu ndiyo kashinda kwa kura nyingi
Kwani mawe, mapanga na visu na petroli vimeisha.

Inabidi, unapiga kura, kisha safari ya kwenda OFISI za mkurugenzi inaanza, unakwenda ukiwa na silaha nilizotaja.

Mkikusanyika watu 10,000 tu inatosha kabisa.

Uchaguzi kwa Tanzania ndiyo Vita yetu. Sehemu karibu zote wapinzani huwa hawatangazwi pasipo kukomaa.
 
Back
Top Bottom