Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
mapema mno !Biashara imeisha hy
Kibibi Betina mti mkavu kina roho mbaya kinakula njama na mkurugenziccm wa CCM wamtangaze yeye kienyeji pasipo kujali kuwa Sugu ndiyo kashinda kwa kura nyingi
Huu ni mkutano uliopigwa leo na Mbunge wa milele wa jimbo hilo Joseph Mbilinyi kata ya Ilemi ambaye pia wenyeji wa hapo humuita Rais wa Mbeya .
Mtu huyu ambaye pia ni mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA hana mambo mengi kwenye mikutano yake, hushirikiana na watu wa Mbeya tu akiwemo Mtu mzito John Mwambigija .
Kwani mawe, mapanga na visu na petroli vimeisha.Kibibi Betina mti mkavu kina roho mbaya kinakula njama na mkurugenziccm wa CCM wamtangaze yeye kienyeji pasipo kujali kuwa Sugu ndiyo kashinda kwa kura nyingi
yeye mwenyewe hatatangazwa sembuse wabunge ?nikuteue, nikulipe mshahara halafu ukamtangaze mpinzani. Hiiiiiii sauti ilisikika toka jukwaani
ππππSugu moto chini!
Betina ajiandae kuungana na mme wake.