Uchaguzi 2020 Kata kwa Kata: Sugu aendelea kufagia uchafu Mbeya Mjini, Hii hapa ni kata ya Nzovwe

Uchaguzi 2020 Kata kwa Kata: Sugu aendelea kufagia uchafu Mbeya Mjini, Hii hapa ni kata ya Nzovwe

Mbarali Rujewa
Mbeya

Mgombea Liberatus Mwang'ombe wa CHADEMA jimbo la Mbarali akipiga kampeni 2015 na uchaguzi huu wa 2020 ameteuliwa tena na CHADEMA kugombea akiwa sasa kaiva kisiasa zaidi na kukubalika na wananchi baada ya wao na sisi kuisoma namba
 
Mbarali, Rujewa
Mbeya

Tundu Lissu akaribishwa Mbarali na kamanda Liberatus Mwang'ombe mgombea ubunge 2020 Kupitia CHADEMA


Mh. Tundu Lissu atakuwepo Mbarali kwenye viwanja vya Barafu Rujewa, leo hii Jamanne, 15 September, 2020. Ukipata Tangazo hili, mtaarifu na Mwezako
 
14 September 2020
Ileje, Mbeya

Mambo Magumu Kwa CCM Mpya 2020, Katibu Apiga Magoti Kuombea CCM Kura


 
Back
Top Bottom