Huyo jamaa kwa ufupi ni ndezi ... .huwezi kumpigia mwanamke magotiHayo ya Ex na kataa ndoa watayaongelea wataalam. Shida yangu na kinachonisumbua zaidi ni huyo jamaa kupiga goti, hicho tu.
Ndoa ni utapeli uliojificha kwa maana hata yesu hakutaka kuoa alilijua hilo
Ndoa ni utaperi
Sisi wanaume ni machizi flesh.Wanaume tuna nadharia zenye mkanganyiko sana. Unakuta mtu anatombar mke wa mtu na haoni tatizo kushea, ila mtu huyo huyo akitombewa mkewe anakwambia "Mimi siwezi kushea mwanamke".
Sijui tumeumbwaje!!
Kagauni kale kale? Huoni kuwa ni nguo mbili tofauti? Kuna matukio wanawake hawawezi kurudia nguo, mojawapo engagement lazima anunue/anunuliwe nguo mpya.Na kavaa kagauni kale kale alikonunuliwa na njemba yenye miwani.Wtf
Mbona kawaida watu waki-propose kupiga goti? Sio unyonge ni u-gentleman tu kama kumfungulia mwanamke mlango wa gari. Mambo ya kuiga western culture.Hayo ya Ex na kataa ndoa watayaongelea wataalam. Shida yangu na kinachonisumbua zaidi ni huyo jamaa kupiga goti, hicho tu.
KASHA LIWA LIWAJinsi maisha haya inaonesha idadi ya wakataa ndoa inazidi kuwa kubwa yani siku hizi ndoa zimekuwa kama uchaguzi NEC tanzania.
jamaa kavisha pete kumbe pembeni kuna jamaa alishapitia kitambo
View attachment 2986360
Mbona kawaida watu waki-propose kupiga goti? Sio unyonge ni u-gentleman tu kama kumfungulia mwanamke mlango wa gari. Mambo ya kuiga western culture.
Tunaiga wazungu kila kitu.Hayo ya Ex na kataa ndoa watayaongelea wataalam. Shida yangu na kinachonisumbua zaidi ni huyo jamaa kupiga goti, hicho tu.
Haya mambo hufanywa na wanaume toso kama mc pilipili.Huwa najiulizaga sana, utamaduni huu ulianziaga wapi? Kwani ukimvisha tu Pete umesimama kuna shida gani?
NAKAZIANdoa ni utaperi
Ndoa ni ajira kwa wanawake
Ndoa ni fursa kwa wanawake