Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #181
Karibu kataa ndoana mimi ni mwanachama mpya wa kataa ndoa
Uongo.KATAA ndoa ni chama Kikubwa, na hatu yumbishwi ma maneno.
Kivipi huna cheo ndugu yangu. Wewe ndo umeni inspire kuingia chamaniTuishi humu
Mimi npo kitengo finance sema sitaki kuappear front sana japo naplay nafasi nyetiKivipi huna cheo ndugu yangu. Wewe ndo umeni inspire kuingia chamani
Ishi nae kimakini, ila Kataa ndoaAiseh!
Ndoa kwa sisi.wanaume ni kukubali kujitoa mhanga!kuvaa mabomu!!
Yakilipuka bas!!!
Sheria zibadilike TU!ndoa ni muhimu mno!!
Oa kijana acha uogaKatibu we kaa na chama chako🤓
View attachment 2928306
KATAA ndoaOa kijana acha uoga
Naam 😂🤣KATAA NDOA
NDOA NI UTAPELI ULIO PAKWA MAFUTA YA VITUMBUA
KATAA NDOA HAKUNA TUZO YA MUME BORA UTAKUFA TUKIZIKE MKEO TUMLE KICHURI
KATAA NDOA LINDA UHURU WAKOHapa napapenda sana . Kataa ndoa kataa 50 kwa 50
Hii Sera ya kataa ndoa ni Sera ya msingi na muhimu mno.
Itasaidia kuonyesha ukweli na njia ambazo vijana Wanazo Ingia Chaka.
swaga nyingi, michango, Picha kibao, halafu mwishobwa siku una Baki una Lia Lia.
maigizo, kilio, Kisi kudanganye kijana.
Mwenyekiti wa kataa ndoa ni, Liverpool VPN,
02 katibu wa kataa ndoa, dronedrake,
03. Mjumbe ni Loading failed,
04, Mimi ni katibu mwenezi wa Sera za chama Cha kataa ndoa.
KATAA NDOA LINDA MAISHA
YAKO.
KATAA NDOA LINDA UHURU WAKO.
KATAA NDOA LINDA UCHUMI WAKo.
KATAA UNAFIKI WA 50/50
Sisi ambao tumeshaingia hlo chaka.....na tunataka kusapot hii kampen mnatumbiaje?!Hii Sera ya kataa ndoa ni Sera ya msingi na muhimu mno.
Itasaidia kuonyesha ukweli na njia ambazo vijana Wanazo Ingia Chaka.
swaga nyingi, michango, Picha kibao, halafu mwishobwa siku una Baki una Lia Lia.
maigizo, kilio, Kisi kudanganye kijana.
Mwenyekiti wa kataa ndoa ni, Liverpool VPN,
02 katibu wa kataa ndoa, dronedrake,
03. Mjumbe ni Loading failed,
04, Mimi ni katibu mwenezi wa Sera za chama Cha kataa ndoa.
KATAA NDOA LINDA MAISHA
YAKO.
KATAA NDOA LINDA UHURU WAKO.
KATAA NDOA LINDA UCHUMI WAKo.
KATAA UNAFIKI WA 50/50
View attachment 2926176
Kaa kimasta, ficha Mali zakoSisi ambao tumeshaingia hlo chaka.....na tunataka kusapot hii kampen mnatumbiaje?!
huu ni ulafi aiseeNdoa tamu bwana, wife kapika ugali wa mahindi, kuna sembe, ugali wa muhogo na mboga za kila aina.
View attachment 2926192
30/100Unaweza kukataa ndoa na ukafa masikini totoro.
Unaweza kukata ndoa na ukafa na gono.
Unaweza kukataa ndoa na usiwe huru