Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #241
naam KATAA NDOANikifikiriaga maswala ya kugawana Mali hamu ya ndoa inaisha kabisa yaani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naam KATAA NDOANikifikiriaga maswala ya kugawana Mali hamu ya ndoa inaisha kabisa yaani.
wengi bado hawaja oa, japo familia ni muhimu mno.Una hakika hao wote hawajaoa na wewe lini?
Maana muda umepita sasa 😊
Jaman si uzae watoto utawarithisha,Nikifikiriaga maswala ya kugawana Mali hamu ya ndoa inaisha kabisa yaani.
Basi naomba niwe kipoozeo chakoNikifikiriaga maswala ya kugawana Mali hamu ya ndoa inaisha kabisa yaani.
Dawa za ARV zimesitishwa kuletwa huku Africa na Trump ujue 😑Basi naomba niwe kipoozeo chako
Basi nitakuwa nanyonya tuuDawa za ARV zimesitishwa kuletwa huku Africa na Trump ujue 😑
Hahahaha ila tunda zuri una mambo sana ww unataka niingie katika mtego wako kisa wanaume hatujuagi kukataa.Basi nitakuwa nanyonya tuu
salaam mkuu, nakuona unavyo subiri nijibu 😂🤣🤣.Kukataa ndoa ni haki yako, kuingilia za wenzako marufuku.
Mume wako anajua kuwa unataka kulifanya hili jambo ?Basi naomba niwe kipoozeo chako
Mkuu wewe hata nikikusalimia nikupe zawadi utanigeukia na kisu tu.
mkuu huwa wana sema mwenye macho na aone, mwenye masikio na asikie.Mkuu wewe hata nikikusalimia nikupe zawadi utanigeukia na kisu tu.
Ushajiwekea kwamba mimi mshari muda wote, sijui kwa nini 🤣🤣🤣
Hana baya mboyaa, na aishi sanaa kwa kweli ninampenda na namuheshimu ndio maana hanifuatiliagiMume wako anajua kuwa unataka kulifanya hili jambo ?
Mmmh kama umeolewa basi, maana nikikumbukaga rafiki yangu alivyokufa kizembe kisa kamla mke wa mtu, sitakagi shobo kabisa na wake za watu.Hana baya mboyaa, na aishi sanaa kwa kweli ninampenda na namuheshimu ndio maana hanifuatiliagi
nmeoa ila nawakubali sana na kama kuna michango ntatoa wananguHii Sera ya kataa ndoa ni Sera ya msingi na muhimu mno.
Itasaidia kuonyesha ukweli na njia ambazo vijana Wanazo Ingia Chaka.
swaga nyingi, michango, Picha kibao, halafu mwishobwa siku una Baki una Lia Lia.
maigizo, kilio, Kisi kudanganye kijana.
Mwenyekiti wa kataa ndoa ni, Liverpool VPN,
02 katibu wa kataa ndoa, dronedrake,
03. Mjumbe ni Loading failed,
04, Mimi ni katibu mwenezi wa Sera za chama Cha kataa ndoa.
KATAA NDOA LINDA MAISHA
YAKO.
KATAA NDOA LINDA UHURU WAKO.
KATAA NDOA LINDA UCHUMI WAKo.
KATAA UNAFIKI WA 50/50
View attachment 2926176
uhakika bro, kataa ndoanmeoa ila nawakubali sana na kama kuna michango ntatoa wanangu
Heee jaman, ndoa yenyewe sio kivileeee yaan tupo kama mtu na dada yake hahahMmmh kama umeolewa basi, maana nikikumbukaga rafiki yangu alivyokufa kizembe kisa kamla mke wa mtu, sitakagi shobo kabisa na wake za watu.
Inaonekana kwenye hio ndoa yenu mmepigiana matukio kila mtu Hana hisia kwa mwenzie, Sasa c muachane maana hapo ni mateso tu eety Tunda.Heee jaman, ndoa yenyewe sio kivileeee yaan tupo kama mtu na dada yake hahah
Ndoa zina mambo mengi, mkiachana ni shida hupati mtu lakn ukiwa kwenye ndoa watu wanakutongoza kibao hahaha,Inaonekana kwenye hio ndoa yenu mmepigiana matukio kila mtu Hana hisia kwa mwenzie, Sasa c muachane maana hapo ni mateso tu eety Tunda.
Umenichekesha saana 😂 😂 😂Ndoa zina mambo mengi, mkiachana ni shida hupati mtu lakn ukiwa kwenye ndoa watu wanakutongoza kibao hahaha,