Kataa ndoa uishi maisha yako ya furaha na amani

Tuliambiwa tuishi nao kwa akili, wewe kama umekosa akili ya kuishi nao tuachie sisi. Ni kweli kuwa sio Me wote wenye akili ya kuishi na Ke, hata Mtume Paulo aliwaandikia Wakorintho namna hiyo, soma 1 Cor. 7
Huu uzi ni kwa wanaume wenye akili wewe uliyeshinikizwa kuoa hatukuhitaji hapa.Nenda kaendelee kuendeshwa na mkeo.

Mmedanganywa kwa mda mrefu na mafundisho ya hovyo kwamba mwanaume anatakiwa kuwa na mke mmoja hivi hamuoni hata kwa wanyama jinsi dume linavyomiliki majike yakutosha.
 
Tag unaotaka wachangie uzi, kama huwezi basi ujue hii ni platform huru, ukitupia uzi ujue kila mtu ana uhuru wa kuchangia chochote.
 
🀣
 
Tag unaotaka wachangie uzi, kama huwezi basi ujue hii ni platform huru, ukitupia uzi ujue kila mtu ana uhuru wa kuchangia chochote.
Pita hivi wewe anzisha siredi zenu na chama chenu cha KUBALI NDOA.

πŸ“ŒπŸ“ŒUtapata wajinga wenzenu ila cha kukwambia tu wanachama wa KUBALI NDOA wengi wapo kaburini,wengine machizi,wengine wapo jela wanasubiri kunyongwa na wengine wamefungwa vifungo vya maisha.

Hao misukule wachache utakao wapata ni walevi mbwa ambao kutwa kushinda baa n vijiweni nyumba zao hazikaliki.
 
Ni ajabu sana kuona mwanaume anakasirika kuona Me wenzake wanaoa. Huenda kuna namna mnataka kuolewa, ndio maana mnakataa Ke wakuolewa.
 
Nimekubaliana na vyote, ila na uwepo wa tgnp, sijui women in advocacy. Ndio maana ile kesi wamama wamesimamia. Hatoki labda uwe ww raisi.
πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒKATAA NDOA.MWANAUME MAHAKAMA YAKO NI PENIS YAKO KIJANA.

HAKUNA WA KUKUTETEA WEWE KIHESHIMU KICHWA CHA JUU USIKUBALI KICHWA KIDOGO KIKUTAWALE!!!
 
Ngoja yawakute.
Watarudi hapahapa.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Tuliambiwa tuishi nao kwa akili, wewe kama umekosa akili ya kuishi nao tuachie sisi. Ni kweli kuwa sio Me wote wenye akili ya kuishi na Ke, hata Mtume Paulo aliwaandikia Wakorintho namna hiyo, soma 1 Cor. 7
Wewe una akili kuliko waliomtoa bikra?

Mwanamke ni kiumbe emotional, anaweza kushikwa masikio salon,akaja anataka talaka, ngoma ikifika ustawi, hata utumie akili za elon musk talaka utatoa taka usitake.
 
Wewe una akili kuliko waliomtoa bikra?

Mwanamke ni kiumbe emotional, anaweza kushikwa masikio salon,akaja anataka talaka, ngoma ikifika ustawi, hata utumie akili za elon musk talaka utatoa taka usitake.
Kwa hiyo hutaki vile biblia ilivyosema tuishi nao kwa akili? Unataka twende nao kihisia kama wao walivyo?
 
Ni ajabu sana kuona mwanaume anakasirika kuona Me wenzake wanaoa. Huenda kuna namna mnataka kuolewa, ndio maana mnakataa Ke wakuolewa.
πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒHuna akili wahi mirembe,na kabla ya kwenda Mirembe pitia kwa mkemia mkuu wa serikali ukapimwe mkojo!!!
 
Kwa hiyo hutaki vile biblia ilivyosema tuishi nao kwa akili? Unataka twende nao kihisia kama wao walivyo?
Bibilia ni kijitabu tumia vizuri hicho kichwa chako.Usipende kushikwa akili na maandiko ya kufikirika.
 
Kila kitu kina pros and cons
 
Ni ajabu sana kuona mwanaume anakasirika kuona Me wenzake wanaoa. Huenda kuna namna mnataka kuolewa, ndio maana mnakataa Ke wakuolewa.
Mdau acha kubishana na watoto,kwa kuzingatia tu uandishi wa waliochangia huu uzi unaweza kujua una-argue na vijana rika gani wewe huoni post zinavyoandikwa kila baada ya neno kunajazwa emoji?

Post yako moja pale juu ilikuwa inatosha kwa wenye akili kuelewa huku kwengine unapoteza muda tu hawa wape muda bado wapo kwenye umri wa ujinga kutaka kuwaza kila kitu kutenda kila kitu huku wakiamini wapo sahihi kumbe ni kujidanganya tu.
 
Wazee suburi kufa,mnastress za kunyimwa unyumba kaeni kwa kutulia.

Ni zamu ya KATAA NDOA!!!
 
Jidanganye. Sema nini kila mtu aishi maisha yake afanye kile kina mpa fraha.
 
Ni wachache sana ambao tunakuelewa,
NDOA nyingi siku hz zimekuwa ni mateso sana kwa Wanaume...
Mwanamke anajiona anaweza kila kitu.
Nimekuwa kwenye NDOA kwa miaka zaid ya 10 sasa Ila mwaka Jana nikapata kazi ambayo kwa mara ya kwanza ndio naona naishi kwa AMANI..Tupo Mkoa mmoja ila toka nimeanza haya maisha ya distance naona nipo huru sana... Si kwa kufanya Mambo yasiyo na Mbele wala Nyuma la Asha!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…