Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kataa ndoa wapo hata wanawake, hupenda kuzaa tu ila ndoa hawataki, ndio hawa single motherWanaume au vijana wote wanaokataa ndoa halafu wanazalisha mabinti wa watu nafikiri wachukuliwe kama zaidi ya wahujumu uchumi, hawa ni aina fulani ya waharibifu wanaotakiwa kulaaniwa, kupingwa na kukataliwa na jamii kwa ujumla.
Kuna mmoja kataka kunifanyia huo ujinga nkamwambia ukwel tu mwsho wa siku kanambia mimba imetoka...kuna mabinti hujilengesha kwa vijana wakiwa na fikra kuwa wakipata ujauzito wataolewa fasta na kwa lazima, acha tu wanyooshwe
Mkuu kama vijsichana ni vijambazi bora vijana wapone kwa mishangazi kulinda afya yao ya akili pia🤣Mishangazi pia inapaswa kushtakiwa kwa kuvidekeza vikina Juniors kimapenzi hadi viasi uanaume wao 😏
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
50+ yrs hakikisha mafao yanasoma.Mkuu mimi nakataa ndoa kwa umri huu wangu wa ujana ila nikizeeka kwanzia miaka 50 nakuemdelea ndio nitaoa🤣 kwa hapo nipo tofauti na mwenzangu kidogo.
Kabisa mkuu. Now sina hela hakuna kuoa🤣🤣50+ yrs hakikisha mafao yanasoma.
Hakuna kataa ndoa wanawake bongo, labda lesbians.
Mkuu hatuna hela 🤣Nakuunga mkono , hawa vijana wmekuwa wajinga sana kazi kujifanya wahuni .