Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio wote mkuuHalafu hao ndo wa kwanza kusimanga single mothers
Waulize wewe
Hii noma🤣😛 😛Unaacha mwanao apate tabu .
Kwahyo at 50 utakuwa nayo?Kabisa mkuu. Now sina hela hakuna kuoa🤣🤣
Angalau naweza kuwa na hata b5 mkuu🤣Kwahyo at 50 utakuwa nayo?
B5 eeh labda za masomo 😂Angalau naweza kuwa na hata b5 mkuu🤣
Kwa hiyo kwa msimamo huo ni kataa ndoa mazima?🤣🤣🤣B5 eeh labda za masomo 😂
Inawezekana ndio ukawa KN for lifeKwa hiyo kwa msimamo huo ni kataa ndoa mazima?🤣🤣🤣
Ngoja tuone🤣Inawezekana ndio ukawa KN for life
Poa mkuuNgoja tuone🤣
Hao ni wahuni, wanakula gizani halafu wanafuta mdomo kwa vumbi, halafu watembee kifua mbele kukataa ndoa, wakomae kupanda mnazi na hela wawe nazo, maana wanasema wanawake wanafirisi huku maisha yao yenyewe ni pangu pakavuWanaume au vijana wote wanaokataa ndoa halafu wanazalisha mabinti wa watu nafikiri wachukuliwe kama zaidi ya wahujumu uchumi, hawa ni aina fulani ya waharibifu wanaotakiwa kulaaniwa, kupingwa na kukataliwa na jamii kwa ujumla.
Kweli kabisa, na ni hitaji lenye matokeo.Kujamiiana ni hitaji muhimu la viumbe hai wenye jinsia za kujamiiana.