Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
-
- #81
Jibu saafi kabisaKwa hiyo CHADEMA wamesababisha ajira hakuna?
Wafuasi Gani wakati CHADEMA imekufa??Chadema wamesababisha unyumbu kwa wafuasi wao.
Katambi for president!
Baadhi ee?nataka kuungana na Naibu Waziri kuna baadhi ya vijana wana hiyo kasumba
Wote hao hawawezi kunishinda, 2025 nawastaafisha wote wawili!!!
Mwaka juzi walishinda wakadhulumiwa na jiwe. Hata Katambi alipokuwa upinzani alishinda!Baada ya kufa Shilembi Magadula wa CDM upinzani hauwezi shinda Shinyanga mjini
HakikaMwaka juzi walishinda wakadhulumiwa na jiwe. Hata Katambi alipokuwa upinzani alishinda!
Endelea kuotaBaada ya kufa Shilembi Magadula wa CDM upinzani hauwezi shinda Shinyanga mjini