Katarama Buses: Route ya Kampala-Ben, na Ben-Kisangani itaanza karibuni

Katarama Buses: Route ya Kampala-Ben, na Ben-Kisangani itaanza karibuni

Kweli wapambe wa tajiri wana nguvu.

Tayari wapambe walishaenda kampala na kisanganj kuangalia njia na kushughulikia vibali, japo wengine wana mshauri center iwe Kampala to Juba na Kampala to Ben, huku wakimweleza kisangani aende baadae.

Mmiliki wa mabasi ya Classic nae anachekelea apate Mtanzania mwenzie huko ili wapambane ni full vurugu,
Lakini ndio biashara ikikataa upande mmoja basi unajiongeza upande mwingine, hauwezi ukakaa bila kazi wakati dunia ni kijiji na kote fursa zipo.

Kila la kheri Katarama,

View attachment 3098052
Hizo bus umeweka picha hapa sio katarama mkuu
 

Attachments

  • Screenshot_20240917_083827_Google.png
    Screenshot_20240917_083827_Google.png
    1.1 MB · Views: 3
Angekuwa Mwarabu angalikuwa juu ya sheria na angelifanya chochote bila bughudha.
Sasa mwarabu kaingiaje hapo? Ulitaka siku aue abiria kisa ni mtu mweusi ?Kwa makusudi kabadilisha kifaa cha kumonitor mwendo na kapachika chake ili atembee kwa spidi kubwa ?.Acha sheria ifuate mkondo wake hajaonewa kabisa.
 
Mama Samia njoo vuna kura zetu huku kanda ya ziwa kwa kutetea weusi wenzako Katarama kwenye hii biashara against waarabu Ally's, hawa wanaotaka kujiona Miungu watu wakati baba zao walikuja Tanzania kwa kutumia upepo wa Mansoon wind na sasa wanajibebea mali tu watakavyo. Yaani inashangaza Ally's na Katarama zinatoka Dar muda mmoja halafu Ally's inawahi kufika huku Katarqma anadakwa kachezea VTS alafu Ally's ndio kwanza anaongezewa route za kwenda! LATRA mnatuona watanzania mapoyoyo kutokujua huu ni mchezo mchafu ?
Mambo ya ajabu haya
 
wamemfanyia uchawi mwekezaji wa ndani.
wawekezaji wa nje wanatirirsha maji machafu kwenye vyanzo vya maji wanavyotumia wananchi na hawafungiwi wala awapigwi faini.
 
Kweli wapambe wa tajiri wana nguvu.

Tayari wapambe walishaenda kampala na kisanganj kuangalia njia na kushughulikia vibali, japo wengine wana mshauri center iwe Kampala to Juba na Kampala to Ben, huku wakimweleza kisangani aende baadae.

Mmiliki wa mabasi ya Classic nae anachekelea apate Mtanzania mwenzie huko ili wapambane ni full vurugu,
Lakini ndio biashara ikikataa upande mmoja basi unajiongeza upande mwingine, hauwezi ukakaa bila kazi wakati dunia ni kijiji na kote fursa zipo.

Kila la kheri Katarama,kisa

View attachment 3098052
Wapuuzi sana jamaa Mimi sio wakumibadirishia basi😂😂kisa hawana abiria
 
Kweli wapambe wa tajiri wana nguvu.

Tayari wapambe walishaenda kampala na kisanganj kuangalia njia na kushughulikia vibali, japo wengine wana mshauri center iwe Kampala to Juba na Kampala to Ben, huku wakimweleza kisangani aende baadae.

Mmiliki wa mabasi ya Classic nae anachekelea apate Mtanzania mwenzie huko ili wapambane ni full vurugu,
Lakini ndio biashara ikikataa upande mmoja basi unajiongeza upande mwingine, hauwezi ukakaa bila kazi wakati dunia ni kijiji na kote fursa zipo.

Kila la kheri Katarama,

View attachment 3098052
Analeta Volvo?
 
Mama Samia njoo vuna kura zetu huku kanda ya ziwa kwa kutetea weusi wenzako Katarama kwenye hii biashara against waarabu Ally's, hawa wanaotaka kujiona Miungu watu wakati baba zao walikuja Tanzania kwa kutumia upepo wa Mansoon wind na sasa wanajibebea mali tu watakavyo. Yaani inashangaza Ally's na Katarama zinatoka Dar muda mmoja halafu Ally's inawahi kufika huku Katarqma anadakwa kachezea VTS alafu Ally's ndio kwanza anaongezewa route za kwenda! LATRA mnatuona watanzania mapoyoyo kutokujua huu ni mchezo mchafu ?
Samia alishadeclare kuwa yeye ni mwarabu.
 
Kweli wapambe wa tajiri wana nguvu.

Tayari wapambe walishaenda kampala na kisanganj kuangalia njia na kushughulikia vibali, japo wengine wana mshauri center iwe Kampala to Juba na Kampala to Ben, huku wakimweleza kisangani aende baadae.

Mmiliki wa mabasi ya Classic nae anachekelea apate Mtanzania mwenzie huko ili wapambane ni full vurugu,
Lakini ndio biashara ikikataa upande mmoja basi unajiongeza upande mwingine, hauwezi ukakaa bila kazi wakati dunia ni kijiji na kote fursa zipo.

Kila la kheri Katarama,

View attachment 3098052
Hivi kwani hakuna biashara nyingine zaidi ya mabasi? Kila mtu ananunua mabasi, halafu baadae mnakuja kulia hakuna biashara, sasa nani anawalazimisha kununua mabasi, fanyeni na biashara za uzalishaji mali pia..
 
Mbaya zaidi ukute huyo boya aliefungia kibali hamiliki hata boxer ila kwa ghilba ya nafsi tu anaamua kumkomoa mtu ili amtie hasara ya mamilioni.
 
Mama Samia njoo vuna kura zetu huku kanda ya ziwa kwa kutetea weusi wenzako Katarama kwenye hii biashara against waarabu Ally's, hawa wanaotaka kujiona Miungu watu wakati baba zao walikuja Tanzania kwa kutumia upepo wa Mansoon wind na sasa wanajibebea mali tu watakavyo. Yaani inashangaza Ally's na Katarama zinatoka Dar muda mmoja halafu Ally's inawahi kufika huku Katarqma anadakwa kachezea VTS alafu Ally's ndio kwanza anaongezewa route za kwenda! LATRA mnatuona watanzania mapoyoyo kutokujua huu ni mchezo mchafu ?
Wewe umebakiza kupaa na ungo tu (kama hujaanza bado) ili kuwa fully fledged mwanga.
 
Back
Top Bottom