Kweli wapambe wa tajiri wana nguvu.
Tayari wapambe walishaenda kampala na kisanganj kuangalia njia na kushughulikia vibali, japo wengine wana mshauri center iwe Kampala to Juba na Kampala to Ben, huku wakimweleza kisangani aende baadae.
Mmiliki wa mabasi ya Classic nae anachekelea apate Mtanzania mwenzie huko ili wapambane ni full vurugu,
Lakini ndio biashara ikikataa upande mmoja basi unajiongeza upande mwingine, hauwezi ukakaa bila kazi wakati dunia ni kijiji na kote fursa zipo.
Kila la kheri Katarama,kisa
View attachment 3098052