Katarama kapiga tena kwenye mshono!

Katarama kapiga tena kwenye mshono!

Hata waliofeli walifanya hesabu pia. Scandinavia ilikuwa hivyohivyo ina wawekezaji ikafirisika
Unafikiri nao hawakuona scandinavia wakifail? Biashara ku fail kuna changiwa na mengi sana na biashara kufanikiwa kuna mengi pia. 3 billions hujui kaitolewa wapi na target yake ni ipi pia.. tutabaki hapa tuna assume tu mipango yake
 
Unafikiri nao hawakuona scandinavia wakifail? Biashara ku fail kuna changiwa na mengi sana na biashara kufanikiwa kuna mengi pia. 3 billions hujui kaitolewa wapi na target yake ni ipi pia.. tutabaki hapa tuna assume tu mipango yake
Muda utaamua mark this comment
 
Mvimba Macho....
Hapa sjui ni Mchina na New Force zake?
Hongera kwa Mwamba Katarama. Uzuri wa Nchi zetu za Waizi ukiingia kwenye Biashara kama hiyo Wazee wa Madili/Wapigaji wanaotaka kutakatisha pesa zao ni Mwendo wa kukujazia Mabasi/Mtaji unavimba mjini kiulaiiiini.
Tatizo ni kianzio tu,ukiwa na kianzio... wadau wa kuingiza hela ni wengi,watu wana hela wanataka nani wa kumuwekea wazitakatishe.
 

siwezi kupinga kipindi sijajiunga jamiiforum nilikuwa natumia jamiiforum kuptia operamini kwenye mobile phone jina la mshana nilikuwa naliona ni kitambo sana

almost kama miaka 16 hivi

yoyote kwa yote huu uzi bila picha bado hujakamilika bro kwa heshima yako 😀View attachment 3088256
Asante sana 🙏🏿
900m/bus? Hiyo pesa haiwezi kurudi
Ngoja like kiseto aje na break down
Mtakie heri kwenye mishe zake mkuu. Kesho ya mwanadamu anayo Mungu pekee.
Kesho ya mwanadamu anayo Mungu pekee.❤❤❤
 
Nilikua nikifika lusaka kwenda zim au Kwa mandela unaona wale ndio wanasafiri bongo ni safari inakua kama kifo bana unafika umechoka mwili wote
Baba huko Zambia kuna chuma balaa Mercedes Benz halafu zinavuta tela
 

Attachments

  • Screenshot_20240906-204328.jpg
    Screenshot_20240906-204328.jpg
    421.8 KB · Views: 7
  • Screenshot_20240906-204330-1.jpg
    Screenshot_20240906-204330-1.jpg
    203.6 KB · Views: 7
  • Screenshot_20240906-204319-1.jpg
    Screenshot_20240906-204319-1.jpg
    260.5 KB · Views: 7
Story za kijiweni nilisikia kanunua 4..kapewa nne kwa daftari... So jumla ako na chuma nane..

Siku ya mapokezi nilikuwepo shekilango pale ndio nikapata hizo nyepesi nyepesi kutoka kwa wanazi wa hayo mambo ya mabasi na usafiri wa umma.
IMG_20240901_115348.jpg
IMG_20240901_115345.jpg
 
Back
Top Bottom