Katavi: Askari wa TANAPA adaiwa kumuua mfugaji kwa risasi

Katavi: Askari wa TANAPA adaiwa kumuua mfugaji kwa risasi

Mwananchi alikuwa na silaha gani hadi wao watumie silaha ya moto?

Walikuwa kwenye mission ya kutaka kumfilisi mwenye hao ng’ombe kama kawaida yao, wengi wamefilisiwa kwa hila. Kwa sasa mkishindwa kukamata mnafyatua risasi JUU.
Kama mkuu wa polisi anavyoeleza hapo walizongirwa (hiyo ni bad intent), si lazima raia awe na silaha no, but ile kuwazunguka askari huwa anaruhusiwa kutumia silaha for self defence
 
Polisi mkoani Katavi inawashikilia askari wawili wa Shirika la Hifadhi Tanzania (TANAPA) kwa kosa la kumuua kwa risasi mfugaji aliyetambulika kwa jina la Gimbagu Mandagu mwenye umri wa miaka 25.

Kamanda wa Polisi mkoani humo, SACP Kaster Ngonyani amesema tukio hilo limetokea katika kijiji cha Ikuba kilichopo Halmashauri ya Mpimbwe.

View attachment 3169703

Soma pia:
Kesi imesha isha hapa, ishu ni self defence, end of the story
 
Kama mkuu wa polisi anavyoeleza hapo walizongirwa (hiyo ni bad intent), si lazima raia awe na silaha no, but ile kuwazunguka askari huwa anaruhusiwa kutumia silaha for self defence
Taarifa ya polisi na taarifa za wananchi zinakinzana

Wananchi mashuhuda wanasema hao askari wa TANAPA walimfuata jamaa mashambani akiwa anachunga, jamaa alipowaona kwa uoga akaanza kukimbia na ndipo wakamfyetulia risasi.

Kati ya hiyo taarifa ya jeshi la polisi na ya wananchi, mimi nitaiamini ya wananchi.
 
Hawa wapuuz wanatoaga taarfa zao wakifikir kila mtu ni nyumbu!! Unapiga risas kwa mfugaji alikua na silaha gan?? Na kupiga risas juu inauwa vp! Au kapigwa na ganda la risasi!!
 
Back
Top Bottom