JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Agizo hilo limetolewa mara baada ya abiria kukwama katika Mto Sitalike ambapo daraja limefurika maji huku abiria hao wakikwama zaidi ya Saa 15.
Aidha, Mrindoko amepiga marufuku kwa mtu yeyote kupita kwenye maji wakati mto umejaa mafuriko.
Hali ilivyo baada ya maboresho - Katavi: Barabara iliyofungwa kutokana na athari za mafuriko kuanza kutumika