Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Wakuu,
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Katavi. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
Mkoa wa Katavi una jumla ya majimbo ya uchaguzi 5. Wabunge walioshinda kwenye hayo majimbo ambayo ni:-
Mpanda Mjini:
Sebastian Kapufi(CCM) - Kura 24,020
Rhoda Kunchela(Chadema) - Kura 13,611
Mpanda Vijijini:
Moshi Kakoso (CCM)
Katavi/Mlele:
ISACK ALOYCE KAMWELWE - Amepita bila kupingwa
Nsimbo:
Ana Richard Lupembe(CCM) - Kura 38,346
Philipo Malaki(ACT Wazalendo) - Kura1292.
Kavuu:
Geophrei Mizengo Pinda (CCM)
ZINGATIA: Mikoa yote ina mada yake ya 'Update' ili kuweka wepesi katika ufuatiliaji.
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Katavi. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
Mkoa wa Katavi una jumla ya majimbo ya uchaguzi 5. Wabunge walioshinda kwenye hayo majimbo ambayo ni:-
Mpanda Mjini:
Sebastian Kapufi(CCM) - Kura 24,020
Rhoda Kunchela(Chadema) - Kura 13,611
Mpanda Vijijini:
Moshi Kakoso (CCM)
Katavi/Mlele:
ISACK ALOYCE KAMWELWE - Amepita bila kupingwa
Nsimbo:
Ana Richard Lupembe(CCM) - Kura 38,346
Philipo Malaki(ACT Wazalendo) - Kura1292.
Kavuu:
Geophrei Mizengo Pinda (CCM)
ZINGATIA: Mikoa yote ina mada yake ya 'Update' ili kuweka wepesi katika ufuatiliaji.