Katavi: Mganga alawiti watoto sita akiwapa matibabu

Katavi: Mganga alawiti watoto sita akiwapa matibabu

kwa utamaduni wa kanda ile 99% ya wanaume wote wamefirwa/wamelawitiwa. HUO NDIO UKWELI.
 
Jeshi la Polisi Mkoani Katavi, linamshikilia mganga wa kienyeji, Akili Abakuki, maarufu Jimmy (38), mkazi wa Majengo, Manispaa ya Mpanda kwa tuhuma za kuwalawiti watoto sita nyakati za usiku alipokuwa akiwapatia matibabu ya tiba za asili.

Kaimu Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Katavi, Sylvester Ibrahim, alisema juzi mtuhumiwa huyo alikamatwa Mei 8, majira ya saa 7:00 mchana katika eneo la Hospitali ya Rufani ya Mkoa wa Katavi, mjini hapa.

Alisema mtuhumiwa huyo alikamatwa baada ya mama mmoja kugundua mtoto wake wa miaka 10, mwanafunzi wa darasa la tatu (jina limehifadhiwa) aliyekuwa amempeleka kwa mganga huyo kupatiwa matibabu ya asili, amelawatiwa.

Kamanda wa Ibrahim alisema baada ya kupatikana taarifa hizo, Jeshi la Polisi lilifanikiwa kumkamata mtuhumiwa huyo ambaye alikuwa amewalawiti watoto wengine watano wakati akiwafanyia matibabu. Watoto hao wanao umri kati ya miaka sita na 12.

Alisema wazazi wa watoto hao walikuwa wakiwapeleka mganga huyo kwa ajili ya kupatiwa tiba za asili na katika tiba hizo. mganga huyo alikuwa akitoa masharti lazima azitoe usiku, hivyo ni lazima watoto hao walale kwake bila wazazi wao kuwapo.

“Ilipokuwa ikifika usiku, mganga huyo alikuwa anawadanganya kwa kuwapatia ndogo kama pipi, biskuti na jojo na kisha anawavua nguo na kuwapaka mafuta mwili mzima na kuwalawiti.

Kamanda Ibrahim alisema vitenzawadi ndogo do hivyo vya kuwalawiti hao alikuwa akivifanya ndani ya chumba chake alichokuwa akiishi watoto huku akiwatishia atawafanyia kitu kibaya iwapo watawaambia wazazi wao kuwa usiku wa manane amewafanyia kitendo hicho.

Kutokana na kuwapo kwa hali hiyo, kamanda amewahimiza wa zazi mkoani Katavi kufuatilia vitendo anmbavyo wanaweza kuwa wamefanyiwa watoto wao na pia wazazi waache tabia ya kuamini imani potofu za kishirikina.
Hao wazazi kwanza ndio wakuanza nao maana ni wapumbavu na hawana akili.

Pili,ni muda muafaka kwa sasa taasisi zinazohusika na afya ya akili kuwa study hawa wahusika na kujua akili ya hawa wahalifu huwa inawaza nini pale ambapo hakuna mtu anaewatambua au kuwabaini wanachofanya.

Kujua msukumo ndani ya ubongo hutokea eneo gani na kwa kichochezi kipi. Hili ni tatizo la kiakili.

Akili ya mwanadamu imeumbwa kutaka inachofanya (pre-programable) na sio kufanya inachotaka.

Huyu muhusika anafanya kile akili yake imekuwa self programed kufanya ( brain logical algorithm code) based on mazingira anayokuwapo muda mwingi au aliyokulia utotoni mwake.

Sasa hapo utasikia serikali wanakimbilia kumfunga miaka 30 huyu mtu badala ya kumuweka kitengo maalumu cha akili kumsoma ubongo wake na kujua chanzo za akili yake kumuelekeza kufanya uhalifu wa namna hii.

By the way, hivi stimu inakujaje pale mtu mzima unapomvua nguo mtoto mdogo at that age na kuanza kupractice sexual stuffs kwa mtoto. I mean what is the goal behind hiyo process?!

Dah. Ila aisee haya mambo ni mazito sana.
 
Waganga ndo chanzo cha maovu kwenye Jamii, wao ndio ufadhili wezi wote nchini
 
Inasikitisha sana... Apelekwe jela nae akafanyiwe hivyo hivyo...
 
utakuta huyo mganga mojawapo ya masharti aliyopewa na bwana shetani ni kulawiti watoto chumbani kwake
 
Mganga wa kienyeji mkazi wa Majengo ya Mpanda mkoani Katavi, Akili Abakuki maarufu kama Jimmy (38) anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kuwalawiti watoto sita wakati akiwapatia matibabu nyumbani kwake.

Kaimu wa Jeshi la Polisi Mkoani hapo, Sylivester Ibrahim amesema mtuhumiwa alikamatwa Mei 8 mwaka huu baada ya mmoja wa wazazi wa watoto hao kugundua kuwa mwanaye mwenye umri wa miaka 10 aliyepelekwa kwa mganga huyo kutibiwa amelawitiwa.

Kamanda amebainisha kuwa, wazazi wa watoto hao wenye umri kati ya miaka 6 na 12 waliwapeleka kwa mganga huyo ambapo aliwapa masharti kuwa, tiba zake ni lazima azitoe usiku hivyo lazima watoto hao walale nyumbani kwake bila ya wazazi wao.

Inadaiwa usiku mganga huyo huwarubuni kwa zawadi ndogo ndogo kama biskuti na peremende kisha kuwapaka mafuta mwili mzima na kuwaingilia kimwili.

Anasema vitendo hivyo huvifanya chumbani kwake usiku wa manane huku akiwatishia watoto hao kutowaambia wazazi wao kitendo walichofanyiwa.

Kamanda anawasihi wazazi kufuatilia vitendo wanavyoweza kuwa wamefanyiwa watoto wao na kuwahimiza waache kushikilia imani potofu za kishirikina.
Anawafanya nini vile? Anawapaka mafuta!!!?
 
Back
Top Bottom