Katavi: Mganga alawiti watoto sita akiwapa matibabu

kwa utamaduni wa kanda ile 99% ya wanaume wote wamefirwa/wamelawitiwa. HUO NDIO UKWELI.
 
Hao wazazi kwanza ndio wakuanza nao maana ni wapumbavu na hawana akili.

Pili,ni muda muafaka kwa sasa taasisi zinazohusika na afya ya akili kuwa study hawa wahusika na kujua akili ya hawa wahalifu huwa inawaza nini pale ambapo hakuna mtu anaewatambua au kuwabaini wanachofanya.

Kujua msukumo ndani ya ubongo hutokea eneo gani na kwa kichochezi kipi. Hili ni tatizo la kiakili.

Akili ya mwanadamu imeumbwa kutaka inachofanya (pre-programable) na sio kufanya inachotaka.

Huyu muhusika anafanya kile akili yake imekuwa self programed kufanya ( brain logical algorithm code) based on mazingira anayokuwapo muda mwingi au aliyokulia utotoni mwake.

Sasa hapo utasikia serikali wanakimbilia kumfunga miaka 30 huyu mtu badala ya kumuweka kitengo maalumu cha akili kumsoma ubongo wake na kujua chanzo za akili yake kumuelekeza kufanya uhalifu wa namna hii.

By the way, hivi stimu inakujaje pale mtu mzima unapomvua nguo mtoto mdogo at that age na kuanza kupractice sexual stuffs kwa mtoto. I mean what is the goal behind hiyo process?!

Dah. Ila aisee haya mambo ni mazito sana.
 
Waganga ndo chanzo cha maovu kwenye Jamii, wao ndio ufadhili wezi wote nchini
 
Inasikitisha sana... Apelekwe jela nae akafanyiwe hivyo hivyo...
 
utakuta huyo mganga mojawapo ya masharti aliyopewa na bwana shetani ni kulawiti watoto chumbani kwake
 
Anawafanya nini vile? Anawapaka mafuta!!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…